Japan katika kipindi cha mpito kiuchumi
Takwimukutoka katika serikali ya Japan zinaonesha kwamba uchumi wa nchi hiyo unashuka kwa asilimia 1.9 kwa mwaka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s72-c/ss.png)
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito
![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s640/ss.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Ok0mIQevg/VZjratFlddI/AAAAAAAHnCY/mAJRjAIZSVw/s640/s.png)
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...
10 years ago
Bongo503 Jan
Video: Lionel Messi aonesha control hatari ya mpira kwenye kipindi cha mchezo cha Japan
Lionel Messi anajulikana kwa uwezo wa kuchezea mpira na control za hatari. Kipindi cha michezo cha Japan kilitaka kujaribu zaidi uwezo wake kwa kumtaka aupige mpira kwenye nguzo yenye urefu wa futi 60 na kisha kuupokea upande wa pili. Akionesha kufanya hivyo kwa rahisi kabisa, Messi aliupiga mpira huo mara mbili na kuucontrol bila wasiwasi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_uYNo1OPj3Y/VTy_ztdGGbI/AAAAAAAHTXM/JF0MphHSbEM/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
Serikali kupitia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imetiliana saini ya makubaliano na Kampuni ya UDA Rapid Transit kuendesha huduma ya usafiri ya mradi huo katika kipindi cha mpito. Katika mkataba huo wa miaka miwili kampuni hiyo itatakiwa kununua mabasi 76 yenye urefu wa mita 12 na 18 ili kuanza kutoa huduma hiyo katika barabara za mradi jijini Dar es Salaam miezi minne kuanzia sasa. Wakati DART ikiwakilishwa na Mtendaji Mkuu wake, Bi. Asteria Mlambo, kampuni hiyo iliwakilishwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s72-c/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
RFB yafanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s400/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini(RFB) imefanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Serikali ya awamu ya nne wa Mhe. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana Bw. Joseph Haule amesema kuwa matengenezo hayo yamefanikisha ujenzi wa barabara kuu zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini kukamilika kwa asilimia 89 huku zile za Wilaya na Miji kwa asilimia 57.
“ kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrohiKZx9tM/VBNaH8hCe_I/AAAAAAAGjUo/KzTRRrrKplY/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATEMBELEA KITUO CHA MPITO CHA WAKIMBIZI MJINI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrohiKZx9tM/VBNaH8hCe_I/AAAAAAAGjUo/KzTRRrrKplY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HndGh6Sk3eA/VUhuJC2s20I/AAAAAAAHVaM/U3TuMsBawhE/s72-c/20150505000906.jpg)
USAFIRI PENDWA KATIKA KIPINDI CHA MGOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HndGh6Sk3eA/VUhuJC2s20I/AAAAAAAHVaM/U3TuMsBawhE/s640/20150505000906.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-43pFhZDTln4/VUhuYiC7OsI/AAAAAAAHVak/sa7aLGC5DSU/s640/DSC_0459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NqcaKtmXygY/VUhub8T92XI/AAAAAAAHVas/saGSKWnp4KQ/s640/DSC_0462.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Oct
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania