Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-
KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wazee wa Mahakama watengewa Bil. 1.5/-
SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara ya Katiba na Sheria, imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya madai ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Umeme Hai watengewa bil. 1.8/-
JUMLA ya sh. bilioni 1.8 zitatumika katika kutekeleza ujenzi wa mradi wa umeme katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alieleza hayo bungeni...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Vijana watengewa bil.1/- za mikopo
MANISPAA ya Kinondoni imetenga fedha kiasi cha Sh bilioni moja ambazo zitagawiwa katika kata 10 kwa ajili ya mikopo isiyokuwa na masharti kwa vijana. Hayo yalisemwa na Mtahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda alipokuwa akimnadi mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Kippi Warioba kwenye viwanja vya Boko CCM jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?
10 years ago
MichuziMSUMBIJI YAJA KUJIFUNZA UTEKELEZAJI WA BRN TANZANIA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Miradi ya BRN yatafuna bil. 500/-
SERIKALI imetumia zaidi ya sh bilioni 500 kwa ajili ya utekeleaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2013. Hayo yalisemwa jana na kiongozi...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Sekta zinazotekeleza BRN zakusanya bil. 215/-
SEKTA zinazotekeleza mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimefanikiwa kukusanya sh bilioni 215 zilizoibuliwa kutoka kwenye maabara za BRN. Kiongozi wa mfumo huo katika Wizara ya Fedha, Emmanuel Tutuba, alibainisha...
11 years ago
MichuziMKUTANO WA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA BRN WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bNRJ-Slr62I/VRQovAbatlI/AAAAAAAHNc0/MZqYyxAVrJI/s72-c/3d6cOmari-Issa.jpg)
NCHI ZA UKANDA WA KATI WA UCHUKUZI ZASHAURIWA KUCHUKUA NIDHAMU YA UTEKELEZAJI YA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-bNRJ-Slr62I/VRQovAbatlI/AAAAAAAHNc0/MZqYyxAVrJI/s1600/3d6cOmari-Issa.jpg)
Alisisitiza kuwa bila kuwa na mifumo ya ufuatiliaji, baadhi ya nchi zinaweza kumaliza kwa wakati miradi yake; huku nchi nyingine zikichelewa kukamilisha miradi iliyo upande wake. Hali...