MSUMBIJI YAJA KUJIFUNZA UTEKELEZAJI WA BRN TANZANIA
Ujumbe kutoka Msumbiji (kushoto) na Wakurugenzi wa Wizara ya Maji katika kikao cha pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba (katikati), pamoja na Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Presidential Delivery Bureau (PDB), Mugisha Kamugisha (kushoto) na Mkurugenzi wa Maji Vijijini, Frida Rweyemamu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba akizungumza na Ujumbe kutoka kutoka Msumbiji.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNCHI ZAIDI ZADHAMIRIA KUJIFUNZA KWA TANZANIA KUHUSU MATOKEO MAKUBWA SASHA (BRN)
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-
KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?
11 years ago
MichuziMKUTANO WA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA BRN WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bNRJ-Slr62I/VRQovAbatlI/AAAAAAAHNc0/MZqYyxAVrJI/s72-c/3d6cOmari-Issa.jpg)
NCHI ZA UKANDA WA KATI WA UCHUKUZI ZASHAURIWA KUCHUKUA NIDHAMU YA UTEKELEZAJI YA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-bNRJ-Slr62I/VRQovAbatlI/AAAAAAAHNc0/MZqYyxAVrJI/s1600/3d6cOmari-Issa.jpg)
Alisisitiza kuwa bila kuwa na mifumo ya ufuatiliaji, baadhi ya nchi zinaweza kumaliza kwa wakati miradi yake; huku nchi nyingine zikichelewa kukamilisha miradi iliyo upande wake. Hali...
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa BRN
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akichangia hoja wakati wa mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) uliofanyika leo Jumatano Julai 23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi, Bashir Mrindoko.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia...
10 years ago
MichuziWizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji