Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSUMBIJI YAJA KUJIFUNZA UTEKELEZAJI WA BRN TANZANIA

Ujumbe kutoka Msumbiji (kushoto) na Wakurugenzi wa Wizara ya Maji katika kikao cha pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba (katikati), pamoja na Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti wa Presidential Delivery Bureau (PDB), Mugisha Kamugisha (kushoto) na Mkurugenzi wa Maji Vijijini, Frida Rweyemamu. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba akizungumza na Ujumbe kutoka kutoka Msumbiji.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NCHI ZAIDI ZADHAMIRIA KUJIFUNZA KWA TANZANIA KUHUSU MATOKEO MAKUBWA SASHA (BRN)

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar,Utawala Bora, Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akizungumza wakati akifunga mkutano wa Majadiliano ya Viongozi wa Jumuiya ya Madola ya Utawala Bora wa Afrika  uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.




Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais, Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia BRN, Bw. Omari Issa akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa jumuiya ya Madola ya Utawala Bora Afrika katika Mkutano uliofanyika leo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-

KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?

BRN, matarajio ilikuwa ni kufikia asilimia 70 ya ufaulu kwa shule za msingi mwaka 2014, badala yake ilipata asilimia 58 tu. Kwa upande wa sekondari, kiwango kilikuwa kufikia asilimia 60 lakini wanafunzi wakapata asilimia 58.

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA BRN WAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akichangia hoja wakati wa mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) uliofanyika leo Jumatano Julai 23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Bashir Mrindoko Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa...

 

10 years ago

Michuzi

NCHI ZA UKANDA WA KATI WA UCHUKUZI ZASHAURIWA KUCHUKUA NIDHAMU YA UTEKELEZAJI YA BRN

Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN),  Omari Issa amewashauri Wakuu wa Nchi za Ukanda wa Kati wa Uchukuzi kuwa mifumo ya ufuatiliaji na utekelezaji itakayoharakisha ukamilishaji wa miradi iliyoko katika nchi zao.
Alisisitiza kuwa bila kuwa na mifumo ya ufuatiliaji, baadhi ya nchi zinaweza kumaliza kwa wakati miradi yake; huku nchi nyingine zikichelewa kukamilisha miradi iliyo upande wake. Hali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa BRN

1

Gavana  wa  Benki   Kuu  ya  Tanzania,  Prof.  Benno  Ndulu akichangia   hoja   wakati  wa mkutano  wa  kupitia  taarifa  ya  mwaka mmoja ya utekelezaji  wa  Mpango  wa  Matokeo  Makubwa  sasa (BRN) uliofanyika  leo  Jumatano   Julai  23,  2014  katika  ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere  Jijini  Dar es  Salaam.  Kulia ni Katibu Mkuu  wa Wizara  ya Maji  na  Umwagiliaji  Mhandisi, Bashir Mrindoko.

2.

Katibu  Mkuu  Kiongozi  Balozi   Ombeni  Sefue  akichangia  hoja  wakati mkutano wa kupitia...

 

10 years ago

Michuzi

Wizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini

 Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.Na Asteria Muhozya, Dar es SalaamMatokeo ya utekelezaji wa utoaji wa ruzuku kwa wachimbaji Madini wadogo nchini Awamu ya Pili yanatarajiwa kufanyiwa tathmini na ufuatiliaji kupitia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

Hayo yamebainishwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika Kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa kupitia Televisheni ya Taifa TBC1 mapema leo,...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji

Tanzania imeshindwa kutamba mbele yaMsumbiji baada ya kulazimishwa sare ya bao 2 - 2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani