UTT-PID yawatangazia umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5Z6sYt_puM/VMoZUzMTUvI/AAAAAAAHAJQ/96SAMzXyANU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-29%2Bat%2B2.15.44%2BPM.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini Wizara ya Fedha anautangazia Umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City).
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze.
Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya : http://www.utt-pid.org Au ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Taarifa ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya :
http://www.utt-pid.orgAu ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s72-c/20151209133224.jpg)
UTT-PID YAINGIA MAKUBALIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA DHUMUNI LA KUENDELEZA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA WIZARA KATIKA BALOZI MBALIMBALI UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s640/20151209133224.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qk-3-CMENEo/Vmj1MLuJS0I/AAAAAAABqNo/ieUfhsZPth8/s640/20151209134734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-THc9jzDBbO0/Vmj1LtLZr3I/AAAAAAABqNk/m8P3R_9Y5UU/s640/20151209134738.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Taasisi ya UTT-PID chini ya Wizara ya Fedha yapanua barabara eneo la mradi wa viwanja Lindi
Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.
Baada ya kupima na kufanikiwa kuuza viwanja zaidi ya 2,500 katika fukwe za Mabano na Mmongo kwa ushirikiano na Manispaa ya Lindi, Mradi huo umeingia katika hatua ya upanuzi wa barabara kuu na za mitaa ndani ya mradi ambapo kwa ushirikiano huo zaidi ya Shilingi Billion 1 zinatarajiwa kutumika mpaka kukamilika kwake.
Mradi huo mkubwa zaidi nchini katika upimaji wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
UTT PID yatoa huduma za uuzwaji wa fomu za viwanja vyake kwa Wananchi wanaotembelea maonesho ya 39 ya Sabasaba
Afisa Masoko Bi.Kilave Atenaka akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliotembelea kwenye banda hilo lililopo jirani ya kuingia katika banda kubwa la Ukumbi wa Karume
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yanayoendelea katika mabanda ya Saba saba katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa jijini.
Banda la UTT PID lipo jirani na kuingia katika...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA ZA KUUZA LWA MAAFISA WA JESHI NA UMMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F06%2F2015-06-26-15.13.03.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na...
10 years ago
Michuzi01 Jul
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma
![2015-06-26 15.13.03](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa maofisa wa jeshi na umma nchini
Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...