Kikwete: Serikali 3 kizungumkuti
RAIS Jakaya Kikwete amesema muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hautekelezeki na kusema kero za Muungano zinaweza kutatulika kwa kuendelea na serikali mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Takwimu za Rasimu ‘kizungumkuti’
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Tiketi Ubungo kizungumkuti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).
MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Mgomo wa mabasi kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Bunge la Katiba kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Kizungumkuti cha uraia pacha
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ujenzi Mabwepande wageuka kizungumkuti