Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’
Zikiwa zimefikia siku 130 tangu Rais Jakaya Kikwete alipotembelea waathirika wa mafuriko eneo la Buguruni kwa Mnyamani ambako aliagiza kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa maeneo hayo, agizo hilo bado halijatekelezwa ipasavyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Buguruni wahofia magonjwa ya mlipuko
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
JK akumbushwa ahadi soko la Buguruni
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Malapa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, Shehe Shuhuli, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake ya kuwajengea wafanyabiashara wa Buguruni soko jipya. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Takwimu za Rasimu ‘kizungumkuti’
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Mgomo wa mabasi kizungumkuti
11 years ago
Habarileo23 Mar
Kikwete: Serikali 3 kizungumkuti
RAIS Jakaya Kikwete amesema muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hautekelezeki na kusema kero za Muungano zinaweza kutatulika kwa kuendelea na serikali mbili.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Tiketi Ubungo kizungumkuti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).
MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Bunge la Katiba kizungumkuti