JK akumbushwa ahadi soko la Buguruni
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Malapa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, Shehe Shuhuli, amemuomba Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake ya kuwajengea wafanyabiashara wa Buguruni soko jipya. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi
SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/I7PwOIX-qRA/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ693JhtbMu6u27Ji7YC0cnzkASkIWI7vwg8wbUkwcEx7ZyfBjhaUo7kFOdfmkY2-hI*f2H5OIO4FdxtaEdYvNt9E/Soko.jpg?width=650)
SOKO LA BUGURUNI: SHILINGI MIL.27 HUKUSANYWA KWA MWEZI, LAKINI HALI YA UCHAFU SOKONI HAPO NI HATARI
Na Makongoro Oging’
Soko la Buguruni ni moja kati ya masoko makubwa yanayotegemewa katika Jiji la Dar es Salaam kwa serikali kujipatia kipato pia wateja kujipatia mahitaji ya kila siku lakini cha kushangaza ni kwamba uchafu umekithiri. Muonekano wa soko la Buguruni. Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko hilo, Said Habibu Kondo amesema soko hilo lina wafanyabiashara 3,000 na kila mmoja hutozwa ushuru na manispaa kati ya...
9 years ago
Vijimambo20 Oct
JK akumbushwa kutangaza mali alizochuma kabla ya kung'atuka.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jakaya-20Octboer.png)
“Rais Kikwete alijaza fomu ya mali alizokuwa nazo Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, lakini hakutangaza. Tunasubiri kuona sasa baada ya kumaliza atatangaza mali aliyopata akiwa madarakani,” alisema.
Alisema mwaka 1995, Rais mstaafu,...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwaâ€. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’
Zikiwa zimefikia siku 130 tangu Rais Jakaya Kikwete alipotembelea waathirika wa mafuriko eneo la Buguruni kwa Mnyamani ambako aliagiza kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa maeneo hayo, agizo hilo bado halijatekelezwa ipasavyo.
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania