Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tiketi Ubungo kizungumkuti

xmassNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).

MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.

Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT!!! Mgomo wa madereva tena hali tete Ubungo na baadhi ya maeneo usafiri kizungumkuti!!

moshi-640x360

Eneo la Ubungo ambalo kwa sasa mabasi yamegoma abiria wakiwa hawana la kujua nini la kufanya !!!!! taaarifa na picha zaidi zitaendelea kutolewa na mtandao huu ambao upo eneo la tukio!!.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

New Alert Mgomo wa madereva Saga! ni kuwa tayari madereva wa mabasi wamegoma tena siku ya leo Mei 4, kutokana na mashiniko mbalimbali ya madai yao kwa Serikali. Hata hivyo hali kwa Ubungo bado ni tete licha ya vulumai ya hapa na pale ikiwemo askari wa usalama barabarani...

 

9 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha

Baadhi ya mawakala wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam, wanatuhumiwa kununua tiketi za mabasi kisha kuziuza kwa walanguzi ambao nao huwauzia wasafiri waendao mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa kwa Sh70,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo

Nauli za mabasi ya mikoani na nchi jirani zimeendelea kupanda, na sasa Mikoa ya Iringa na Tanga nayo imeguswa na ongezeko hilo.

 

9 years ago

Global Publishers

Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo

2.Kamanda Mpinga akiwa ndani ya Basi la kuelekea Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
3.Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea Mkoani Tanga wakimsikiliza kwa Makini kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani nchini,Mohammed Mpinga.Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
4.Kamanda Mpianga na Kamishna Msaidizi wa kanda maalum ya polisi Dar es Samaam, Peter Sima (kushoto) wakiwa ndani ya moja ya basi.Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
5.Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi stendi ya Ubungo Dar.Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
6.Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda iliyoko kwenye viti vyao vya kukalia.Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
7.Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna msaidizi wa  kanda maalum ya polisi Dar es alaam, Peter Sima.Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mlangua tiketi Ubungo ajihami kwa kinyesi

Mtu mmoja anayetuhumiwa kuuza tiketi za ulanguzi kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT), jana alitumia kinyesi cha binadamu kujilinda dhidi ya polisi waliokuwa wakitaka kumkamata baada ya kubaini alikuwa akifanya biashara hiyo haramu.

 

9 years ago

MillardAyo

Video: Kama hujakata tiketi ya basi Ubungo siku 3 kabla, ni noma…!

Tukiwa tunaelekea katika msimu wa sikukuu za Christmas na Mwaka mpya, najua kuna watu wengi hupendelea kutumia kipindi kama hiki kusafiri kwaajili ya kuwatembelea ndugu na jamaa. Sasa nina hili muhimu la kuhakikisha unalifahamu kama unampango wa kusafiri hivi karibuni. Kwenye hii video hapa chini kuna taarifa kamili, Bonyeza Play kuipata Unataka kutumiwa MSG za habari […]

The post Video: Kama hujakata tiketi ya basi Ubungo siku 3 kabla, ni noma…! appeared first on...

 

10 years ago

Dewji Blog

JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo

kubenea-mpoki

Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.

Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kizungumkuti

Utata umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitishwa kwa Katiba Inayopendekezwa ambayo wiki iliyopita ilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba kizungumkuti

>Sheria ya Mabadiliko ya Katiba bado ina upungufu ambao utaathiri utendaji wa Bunge Maalumu, ambalo huenda likaanza Februari 11 mwaka huu, mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani