Stars yaifunza soka Benin
Vijana wa Taifa Stars wamemshusha pumzi kocha wa timu hiyo, Mart Nooij baada ya kuichapa Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Uholanzi yaifunza Uhispania soka
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
PSG yaifunza soka Leverkusen
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Stars yaizaba Benin 4-1
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana iliwapa raha wapenzi na mashabiki wa soka, baada ya kuitungua Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa Uwanja wa...
10 years ago
GPL10 years ago
StarTV13 Oct
Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.
TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.
Stars...
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Taifa Stars yaivaa Benin
10 years ago
TheCitizen09 Oct
Benin name strong team for Stars tie
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlRVtZ-ITcwInKuoAvDVGmtWcCebI-geZ3*2FKT7ec9CQjAHn*igmCvcUDuEYdID6K0jdMgoMPpeZDSxia5VzNSg/stars.jpg)
Stars kamili kuivaa Benin kesho
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Benin yaanika wakali kuivaa Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...