Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars yaifunza soka Benin

Vijana wa Taifa Stars wamemshusha pumzi kocha wa timu hiyo, Mart Nooij baada ya kuichapa Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi yaifunza Uhispania soka

Uholanzi iliiadhibu vikali mabingwa wa dunia, Uhispania walipowalaza mabao 5-1

 

11 years ago

BBCSwahili

PSG yaifunza soka Leverkusen

Paris St-Germain iliilaza Bayer Leverkusen 4-0 katika mchuano wa ligi ya mabingwa barani Ulaya

 

10 years ago

Tanzania Daima

Stars yaizaba Benin 4-1

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana iliwapa raha wapenzi na mashabiki wa soka, baada ya kuitungua Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa Uwanja wa...

 

10 years ago

GPL

STARS YAICHAPA 4-1 BENIN

Thomas Ulimwengu akikwaana na beki wa Benin (jezi nyeupe).…

 

10 years ago

StarTV

Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.

TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.

Stars...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaivaa Benin

Timu yaTaifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  itaikabili Benin katika mchezo wa kirafiki kimataifa  utakaofanyia leo saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Benin name strong team for Stars tie

Benin have announced a strong 18-man squad for their international friendly match against the national team, Taifa Stars, scheduled for the National Stadium this Sunday.

 

10 years ago

GPL

Stars kamili kuivaa Benin kesho

Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose
KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Benin yaanika wakali kuivaa Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani