Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benin name strong team for Stars tie

Benin have announced a strong 18-man squad for their international friendly match against the national team, Taifa Stars, scheduled for the National Stadium this Sunday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STARS YAICHAPA 4-1 BENIN

Thomas Ulimwengu akikwaana na beki wa Benin (jezi nyeupe).…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Stars yaizaba Benin 4-1

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana iliwapa raha wapenzi na mashabiki wa soka, baada ya kuitungua Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa Uwanja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaivaa Benin

Timu yaTaifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  itaikabili Benin katika mchezo wa kirafiki kimataifa  utakaofanyia leo saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

StarTV

Taifa Stars yaifumua Benin 4-1.

TAIFA Stars jana iliikung’uta Benin kwa mabao 4-1 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambayo ilitanguliwa na mechi ya amani kati ya viongozi wa dini wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mabao ya nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro,’ Amri Kiemba, Thomas Ulimwengu na Juma Luizio yalitosha kuizamisha Benin ‘Squirrels’ ambayo ilikuwa ikiongozwa na nahodha wake, mshambuliaji wa Wes Brom Albion ya England, Stephane Sessegnon. Bao lao lilifungwa na Suanon Fadel.

Stars...

 

10 years ago

Mwananchi

Stars yaifunza soka Benin

Vijana wa Taifa Stars wamemshusha pumzi kocha wa timu hiyo, Mart Nooij baada ya kuichapa Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Benin yaanika wakali kuivaa Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...

 

10 years ago

Michuzi

26 WAITWA TAIFA STARS ITAKAYOIVAA BENIN

Wachezaji 26 wameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) kwa ajili mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) dhidi ya Benin itakayochezwa Oktoba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Kocha Mart Nooij ambaye yuko Cairo, Misri kwenye kongamano la makocha la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), amesema kikosi cha Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kitaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wachezaji walioitwa ni makipa...

 

10 years ago

GPL

Stars kamili kuivaa Benin kesho

Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose
KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...

 

11 years ago

TheCitizen

Injuries for Zim ahead of Stars tie

Zimbabwe have been further dealt an injury blow after three more key players sustained injuries. This is good news for Tanzania’s Taifa Stars ahead of Sunday’s 2015 Africa Cup of Nations first round, first leg match at the 60,000-seater National Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani