Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanawe mfalme mahakani uhispania

Mwanawe wa mwisho mfalme Juan Carlos wa Uhispania amefikishwa mahakamani kwa madai ya kukwepa kulipa ushuru na ulaji rushwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Uhispania aachia ngazi

Mfalme wa Uhispania Juan Carlos ameachia mamlaka maka mfalme wa Uhispania baada ya kutawala tangu mwaka 1975

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatimaye Simone Gbagbo afikishwa mahakani

Mke wa rais wa zamani, Laurent Gbagbo Simone afikishwa mahakani mjini the Hague

 

10 years ago

BBCSwahili

Dewani mahakani kwa kifo cha mkewe

Familia ya mwanamke aliyeuawa nchini Afrika Kusini akiwa kwenye fungate inasema inataka ukweli mmewe akisimama kizimbani leo

 

10 years ago

Vijimambo

Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakani..Sakata la Kumbaka Shemeji Yake

Mwimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, juzi alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu gani kilichofanya mwimbaji huyo ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

Panya Road 119 Waachiwa Kwa Kukosa Ushahidi, 959 Wafikishwa Mahakani

Vijana 119 ambao walikamatwa katika msako wa Panya Road Wameachiwa na Polisi baada ya Kukosa Ushahidi wa Moja kwa Moja ambao unawahusisha na tukio hilo ..Kamanda wa Polisi kanda ya Dar salaam Kova amesema japo wamewaachia wataendelea kufuatilia nyendo zao huko mtaani ,Pamoja na Kuwaachia hao kamanda Kova Amesema Vijana 959 wamepandishwa mahakamani kwa tuhuma hizo za kujihushisha na kikundi cha panya Road

 

9 years ago

BBCSwahili

Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?

Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Chile kuchuana na Uhispania

Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya Uhispania yaahirishwa

Ligi kuu ya Uhispania La Liga imepigwa marufuku.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani