Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhispania na Barca kumkosa Valdez

Mlinda mlango wa Barcelona na Uhispania Victor Valdes hatashiriki Kombe la dunia baada ya kujeruhiwa goti

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji Kumkosa Fellaini

Timu ya taifa ya Ubelgiji inawasiwasi wa kumkosa nyota wake Marouane Fellaini katika mchezo wa kuzufu kwa michuano ya Ulaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United kumkosa Di Maria

Manchester United itamkosa Angel Di Maria,ambaye anahudumia mafuruku ya mechi moja baada ya kupewa kadi nyekundi dhidi ya Arsenal

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa

Rooney anauguza jeraha na hataweza kuchezea Manchester United dhidi ya PSV Eindhoven mechi ya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya Jumanne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikosi cha Guinea kumkosa nahodha wake

Timu ya taifa ya Guinea itamkosa nahodha wake Kamil Zayatte, ambaye ana matatizo ya mguu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Newcastle kumkosa Krul kwa majuma sita

Timu ya Newcastle itakosa huduma za kipa wake namba moja Tim Krul kwa kipindi cha majuma sita.

 

9 years ago

Mtanzania

Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani

WelbeckLONDON, ENGLAND

KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.

Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.

Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.

Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili

VardyLONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.

Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.

Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Kocha wa timu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme mahakamani Uhispania

Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani