Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.
Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.
Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.
Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Muswada wa habari Februari mwakani
SERIKALI imeendelea kupiga danadana kuleta bungeni muswada wa sheria ya habari na kusema itauleta Februari mwakani badala ya mkutano huu unaoendelea. Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kusini,...
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Welbeck awatakia heri mashabiki wa Arsenal Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8HDWpLQvToLSLrYVwpy1geOX3GbkQjTiQSyF9hFbeE4Zf6PfPCrPFoxd820gv2NtiEnJLzKUojRr-Z7TlbuwnT/1.jpg?width=650)
ARSENAL YAUA, WELBECK AGONGA HAT-TRICK
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ww5zbN3qOR4/VJRhg3iDrJI/AAAAAAAG4f4/XgLuKO_xboA/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
wadau wambura na Jacquiline walamba nondozzzz, kumeremeta Februari mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-ww5zbN3qOR4/VJRhg3iDrJI/AAAAAAAG4f4/XgLuKO_xboA/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m-HAXbffTtI/VJRhg81th3I/AAAAAAAG4fw/CFNH0o6IT0o/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Watendaji wa Tanesco wazidi kubanwa watakiwa kukamilisha miradi kabla ya Februari mwakani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75o8BGdaLU3L7REiS06q2vDTg*o6jJrs7XDEH7St*CRPXDMZorYltutDMSeYV0MWAUXcsd0IPwgM-GTgqfrtqvq7/maalim.jpg)
MAALIM YAHYA: WIMBI LA WASANII KUFA LITAENDELEA HADI MWAKANI
9 years ago
Bongo527 Oct
Davido abadili mawazo ya kuachia album yake ya mpya ‘Baddest’ hadi mwakani
10 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake