wadau wambura na Jacquiline walamba nondozzzz, kumeremeta Februari mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-ww5zbN3qOR4/VJRhg3iDrJI/AAAAAAAG4f4/XgLuKO_xboA/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Wadau Wambura Wambura na Jacquiline Mchwampaka, ambao ni wachumba, wakipozi baada ya kulamba nondozzz zao za Uzamili za Sayansi Katika Menejimenti ya Rasilimali Watu ( Master of Science in Human Resource Management) katika Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es salaam. Wadau hawa wanatarajiwa kumeremeta Februari 15, 2015 kabla ya kuanza tena safari ya pamoja ya kusaka nondozzz ya PhD.
Mdau Jacquiline Mchampaka baada ya kulamba nondozzz zao za Uzamili za Sayansi Katika Menejimenti ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RZcmPMZgCQ4/VIIcrrbKVqI/AAAAAAAG1eI/cV3WfwfxDiE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wadau hassan na Emmanuel walamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe
![](http://2.bp.blogspot.com/-RZcmPMZgCQ4/VIIcrrbKVqI/AAAAAAAG1eI/cV3WfwfxDiE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Muswada wa habari Februari mwakani
SERIKALI imeendelea kupiga danadana kuleta bungeni muswada wa sheria ya habari na kusema itauleta Februari mwakani badala ya mkutano huu unaoendelea. Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kusini,...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.
Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.
Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.
Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Watendaji wa Tanesco wazidi kubanwa watakiwa kukamilisha miradi kabla ya Februari mwakani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZPxh2UadXFc/VHwmguPTeiI/AAAAAAAG0cA/KKI8uz4295Y/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Wadau walamba Nondozz zao katika Chuo cha IFM jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZPxh2UadXFc/VHwmguPTeiI/AAAAAAAG0cA/KKI8uz4295Y/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D3wf4OFOxU0/VHwmiM07ofI/AAAAAAAG0cI/effadfq1lgk/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jqor6Sfkefg/VF8oAfpiGqI/AAAAAAAGwHM/2Ot-geqYijU/s72-c/MMGL0078.jpg)
Wadau walamba Nondozz katika Mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-jqor6Sfkefg/VF8oAfpiGqI/AAAAAAAGwHM/2Ot-geqYijU/s1600/MMGL0078.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CY6PWxWJ9CM/VF8oEOLE3LI/AAAAAAAGwHU/gR2qftSsP_E/s1600/MMGM0027.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XeRO2Gb2V34/VLkXXK9_vZI/AAAAAAAG90E/WF335Wv0Bf0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-16%2Bat%2B3.42.05%2BPM.png)
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sy4MF3oGmt8/VF83sMkLwqI/AAAAAAAGwJM/1Qb_pc3P3Qo/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
mdau deo alamba nondozzzz
![](http://3.bp.blogspot.com/-sy4MF3oGmt8/VF83sMkLwqI/AAAAAAAGwJM/1Qb_pc3P3Qo/s1600/unnamed%2B(26).jpg)