Welbeck awatakia heri mashabiki wa Arsenal Kenya
Mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck amewatuma salamu za heri ya mwaka mpya kwa mashabiki wa Arsenal walio Kenya kwa niaba ya klabu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.
Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.
Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.
Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8HDWpLQvToLSLrYVwpy1geOX3GbkQjTiQSyF9hFbeE4Zf6PfPCrPFoxd820gv2NtiEnJLzKUojRr-Z7TlbuwnT/1.jpg?width=650)
ARSENAL YAUA, WELBECK AGONGA HAT-TRICK
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mashabiki Arsenal Wamtaka Wenger astaafu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aPQjhxn7Wg4/Vn2euuf_S9I/AAAAAAAIOto/BQgTB_THbpU/s72-c/ca5c547c-ae11-441a-84b2-c8d5c58f54c1.jpg)
NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aPQjhxn7Wg4/Vn2euuf_S9I/AAAAAAAIOto/BQgTB_THbpU/s640/ca5c547c-ae11-441a-84b2-c8d5c58f54c1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UsOT2nBhuYE/VKKch5D0h1I/AAAAAAACVCk/RFQaRDwWcM0/s72-c/IMAM%2BWA%2BMSIKITI%2BMICHEWENI%2B%2B001.jpg)
BALOZI IDDI AWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA WAZEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-UsOT2nBhuYE/VKKch5D0h1I/AAAAAAACVCk/RFQaRDwWcM0/s640/IMAM%2BWA%2BMSIKITI%2BMICHEWENI%2B%2B001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MyLgXVeUU2g/VKKch7LKDFI/AAAAAAACVCo/RC1ukY2aT88/s640/KUHANI%2BCHAKE%2BCHAKE%2BJANA%2B002.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Balozi wa Algeria aliyemaliza muda wake awatakia Watanzania mwaka wa utulivu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kuagana na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Djelloul Tabel, Ikulu jijini Dar es Salaam, Jumanne jioni January 13, 2014 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.(PICHA NA IKULU).
Balozi wa Algeria ambaye aliyemaliza muda wake wa utumishi katika Tanzania, Mheshimiwa Tabat Jallouh amewatakia Watanzania mwaka wa mafanikio, amani na utulivu wa 2015, kwa kadri nchi inavyopitia katika mabadiliko makubwa ya kisiasa kwa...
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa nchini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alifanya ziara maalum ya kuwakagua baadhi ya wazee katika sehemu mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba ili kujua haliu zao pamoja na kuwapa mkono wa pongezi kwa kukamilisha mwaka 2014 na kuwatakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa...
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Alikiba azikonga nyoyo za mashabiki wa Kenya kwenye Koroga Festival
![KOROGA FESTIVAL-0890](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/KOROGA-FESTIVAL-0890-300x194.jpg)
Fresh kutoka kutumbuiza mbele ya mastaa wa Hollywood jijini Los Angeles nchini Marekani kwenye hafla ya Wild Aid, Alikiba weekend iliyoisha alikuwa jijini Nairobi, Kenya kutumbuiza kwenye tamasha la Koroga.
Kiba aliyekuwa na bendi yake alidondosha show kali iliyosifiwa na maelfu ya wapenzi wa muziki huku akiwapa mashabiki wa kike wakipendacho zaidi kwa kuwaonesha kifua chake cha gym.
Wakati akitumbuiza wimbo wake Mwana, Kiba aliichana vest yake nyeusi na kuzionesha abs zake mbele ya umati...