Ubelgiji Kumkosa Fellaini
Timu ya taifa ya Ubelgiji inawasiwasi wa kumkosa nyota wake Marouane Fellaini katika mchezo wa kuzufu kwa michuano ya Ulaya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Fellaini afanyiwa upasuaji wa mkono
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Kiungo wa Manchester Marouane Fellaini apona
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Man United kumkosa Di Maria
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Uhispania na Barca kumkosa Valdez
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani
LONDON, ENGLAND
KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.
Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.
Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.
Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kikosi cha Guinea kumkosa nahodha wake