Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubelgiji Kumkosa Fellaini

Timu ya taifa ya Ubelgiji inawasiwasi wa kumkosa nyota wake Marouane Fellaini katika mchezo wa kuzufu kwa michuano ya Ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

11 years ago

BBCSwahili

Fellaini afanyiwa upasuaji wa mkono

Mchezaji wa Man United Marouane Fellaini kutocheza mechi yoyote kwa muda wa wiki sita zijazo baada ya kufanyiwa upasuaji

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kiungo wa Manchester Marouane Fellaini apona

Marouane Fellaini aruhusiwaameruhusiwa kuondoka hopitalini baada ya kuambikzwa virusi vya Corona

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United kumkosa Di Maria

Manchester United itamkosa Angel Di Maria,ambaye anahudumia mafuruku ya mechi moja baada ya kupewa kadi nyekundi dhidi ya Arsenal

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania na Barca kumkosa Valdez

Mlinda mlango wa Barcelona na Uhispania Victor Valdes hatashiriki Kombe la dunia baada ya kujeruhiwa goti

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa

Rooney anauguza jeraha na hataweza kuchezea Manchester United dhidi ya PSV Eindhoven mechi ya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya Jumanne.

 

9 years ago

Mtanzania

Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili

VardyLONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.

Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.

Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Kocha wa timu ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Arsenal kumkosa Welbeck hadi Februari mwakani

WelbeckLONDON, ENGLAND

KLABU ya Arsenal inatarajia kumkosa mshambuliaji wake, Danny Welbeck, hadi Februari mwakani kutokana na kuwa majeruhi.

Kocha wa klabu hiyo, Arsene Wenger, amethibitisha kuwa staa huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo kutokana na majeruhi yanayomsumbua.

Kuumia kwa Welbeck kunaongeza idadi ya majeruhi katika klabu hiyo ambapo ataungana na Alexis Sanchez na Jack Wilshere.

Kutokana na hali hiyo, Wenger atakuwa katika wakati mgumu katika kipindi hiki cha sikukuu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikosi cha Guinea kumkosa nahodha wake

Timu ya taifa ya Guinea itamkosa nahodha wake Kamil Zayatte, ambaye ana matatizo ya mguu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani