Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HISPANIA YAAGA KOMBE LA DUNIA KWA AIBU

Iker Casillas na Iniesta wakitoka uwanjani vichwa chini baada ya kipigo. Kocha wa Hispania, Vicente Del Bosque akiwa haamini kilichotokea.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaaga kombe la Mapinduzi

Yanga imeng'oka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na JKU.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia kwa wanawake

Michuano ya kombe la dunia la wanawake,inaendelea huko canada katika miji tofauti tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Kombe la Dunia kero kwa wanawake

BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.

 

11 years ago

GPL

RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA

Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta akitoa hotuba yake katika Ikulu ya Nairobi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars aliyoipa ofa ya kwenda ziara ya mafunzo kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil.
Rais Kenyatta akiongea na wachezaji wa Harambee Stars.…

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil.  Kitendo cha Rais bila shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha wachezaji wa timu ya taifa ambao hivi karibuni waliicharaza Djibouti mabao mawili kwa moja katika duru...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi 14 za kufuzu kwa kombe la dunia leo

Mechi 14 za mkondo wa pili wa kufuzu kwa fainali za kombe la dunia la mwaka wa 2018 nchini Urusi zinachezwa leo kote barani Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20

 

11 years ago

GPL

UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA

Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu. Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani