Mechi 14 za kufuzu kwa kombe la dunia leo
Mechi 14 za mkondo wa pili wa kufuzu kwa fainali za kombe la dunia la mwaka wa 2018 nchini Urusi zinachezwa leo kote barani Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Kenya na TZ zashinda mechi za kufuzu Kombe la Dunia
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Brazil, Argentina zashindwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!
CONMEBOL Qualification;
Argentina 1 – 1 Brazil
Peru 1 – 0 Paraguay
CONCACAF Qualification;
USA 6 – 1 Saint Vincent
Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago
Mexico 3 – 0 El Salvador
Costa Rica 1 – 0 Haiti
Jamaica 0 – 1 Panama
CAF Qualification;
Madagascar 2 – 2 Senegal
Comoros 0 – 0 Ghana
Kenya 1 – 0 Cape Verde
Libya 0 – 1 Rwanda
Angola 1 – 3 Afrika Kusini
Niger 0 – 3 Cameroon
Liberia 0 – 1 Ivory Coast
Mauritania 1 – 2 Tunisia
Swaziland 0 – 0 Nigeria
Ratiba...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMCzzacTT2ClcsH4qzTpCbOMzb0JiMOT3IhfbNvYFirOGMw*gVqh0dqlLOWOo3glxtlxIaMMnHKDl4Yzp1sy4K/unnamed1.png?width=600)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oPEFhmaRetwTPqWQGPD6DxPGax96PavkLNqsPMGFGvBPkbgQjsDgWgjOrr*O-LFkM-mzEZXPoAchGxOeJnDEQHk/KOMBELADUNIA.png)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018
Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.
CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina
Venezuela 1 – 3 Bolivia
Paraguay 2 – 1 Bolivia
Uruguay 3 – 0 Chile
Brazil 3 – 0 Peru
CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018
Mchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony
Na Rabi Hume
Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.
Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--G_B8490YJc/U6lVnIG-oRI/AAAAAAAFslw/pKwN53OEGRo/s72-c/unnamed.png)