Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Z’bar yaaga kishujaa, Kili Stars leo

Zanzibar Heroes ikiwa katika ubora wake ilikumbuka shuka kukiwa kumekucha baada ya kuikamua Harambee Stars ya Kenya kwa mabao 3-1 katika pambano la kukamilishia ratiba la Kombe la Chalenji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars, Z’bar Heroes kikaangoni

Macho na masikio ya Watanzania leo yatakuwa mjini Awassa wakati Kilimanjaro Stars na Zanzibar Heroes zitakaposhuka uwanjani kuzikabiri Rwanda na Uganda katika mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea nchini Ethiopia.

 

9 years ago

Mwananchi

CHALENJI: Kili Stars yang’ara, Z’bar chali

Wakati Kilimanjaro Stars imefuzu kucheza robo fainali ya mashindano ya Chalenji baada ya jana kuichapa Rwanda mabao 2-1, ndugu zao Zanzibar Heroes wakinyukwa mabao 4-0 na Uganda na kujiweka njiapanda.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars, Ethiopia leo

TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.

 

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

9 years ago

Mwananchi

… Kili yaivaa Somalia, Z’bar yalala 1-0

Wakati Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara ikianza harakati zake za kuwania ubingwa wa Chalenji leo kwa kuikabili Somalia, ndugu zao Zanzibar Heroes wamezama mbele ya Burundi kwa bao 1-0.

 

9 years ago

Habarileo

Kili yatangulia robo fainali, Z’bar yatoka

TIMU ya Kilimanjaro Stars jana ilitinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuichapa Rwanda kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika mjini Awassa, Ethiopia. Wakati Kilimanjaro Stars ikitinga robo fainali wenzao wa Zanzibar Heroes walifungasha virago baada ya kubandikwa mabao 4-0 na Uganda `The Cranes’ katika mchezo uliopigwa mapema jana.

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars go down fighting

Tanzania Mainland’s fairy-tale run at the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup came to an end yesterday after losing to host Ethiopia on 4-3 post match penalties.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars open against Somalia

The Mainland soccer side, Kilimanjaro Stars, has been handed a relatively easy start to the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup, which will kick off on November 21.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani