Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


… Kili yaivaa Somalia, Z’bar yalala 1-0

Wakati Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara ikianza harakati zake za kuwania ubingwa wa Chalenji leo kwa kuikabili Somalia, ndugu zao Zanzibar Heroes wamezama mbele ya Burundi kwa bao 1-0.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars open against Somalia

The Mainland soccer side, Kilimanjaro Stars, has been handed a relatively easy start to the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup, which will kick off on November 21.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars yatamba kuifunga Somalia

Grace Mkojera TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ leo inashuka dimbani mjini Addis Ababa, Ethiopia kuvaana na Somalia katika mchezo wa kwanza kuwania taji la michuano ya Chalenji iliyoanza jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars, Z’bar Heroes kikaangoni

Macho na masikio ya Watanzania leo yatakuwa mjini Awassa wakati Kilimanjaro Stars na Zanzibar Heroes zitakaposhuka uwanjani kuzikabiri Rwanda na Uganda katika mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea nchini Ethiopia.

 

9 years ago

Mwananchi

Z’bar yaaga kishujaa, Kili Stars leo

Zanzibar Heroes ikiwa katika ubora wake ilikumbuka shuka kukiwa kumekucha baada ya kuikamua Harambee Stars ya Kenya kwa mabao 3-1 katika pambano la kukamilishia ratiba la Kombe la Chalenji.

 

9 years ago

Habarileo

Kili yatangulia robo fainali, Z’bar yatoka

TIMU ya Kilimanjaro Stars jana ilitinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuichapa Rwanda kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika mjini Awassa, Ethiopia. Wakati Kilimanjaro Stars ikitinga robo fainali wenzao wa Zanzibar Heroes walifungasha virago baada ya kubandikwa mabao 4-0 na Uganda `The Cranes’ katika mchezo uliopigwa mapema jana.

 

9 years ago

Mwananchi

CHALENJI: Kili Stars yang’ara, Z’bar chali

Wakati Kilimanjaro Stars imefuzu kucheza robo fainali ya mashindano ya Chalenji baada ya jana kuichapa Rwanda mabao 2-1, ndugu zao Zanzibar Heroes wakinyukwa mabao 4-0 na Uganda na kujiweka njiapanda.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!

kilistars

Kikosi cha Kilimanjaro Stars..

Na Rabi Hume, Modewji blog

Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.

Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.

Goli la pili lilifungwa na Elias...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaivaa Ndanda FC

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba leo wanauanza mwaka mpya na mchezo wa 13 wa Ligi Kuu Tanzania bara ugenini kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaoni Mtwara dhidi ya wenyewe wao Ndanda.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yaivaa Malawi

Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’ inaivaa Malawi leo saa 11:00 jioni katika pambano la kirafiki la kimataifa litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani