Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kili Stars, Z’bar Heroes kikaangoni

Macho na masikio ya Watanzania leo yatakuwa mjini Awassa wakati Kilimanjaro Stars na Zanzibar Heroes zitakaposhuka uwanjani kuzikabiri Rwanda na Uganda katika mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea nchini Ethiopia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Zanzibar Heroes, Kili Stars kazini Chalenji

2-5NA ZAINAB IDDY

MICHUANO ya Chalenji inayoshirikisha nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), inatarajia kuanza leo nchini Ethiopia huku timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ ikianza kibarua kwa kuvaana na Burundi huku wenzao wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wakicheza kesho kwa kucheza na Somalia.

Michuano hiyo inayoanza leo itamalizika Desemba 6 mwaka huu ambapo Zanzibar Heroes inayonolewa na Kocha mkuu, Hemed Morocco, akisaidiana na Malale Hamsini, ipo kundi B pamoja...

 

9 years ago

Mwananchi

Z’bar yaaga kishujaa, Kili Stars leo

Zanzibar Heroes ikiwa katika ubora wake ilikumbuka shuka kukiwa kumekucha baada ya kuikamua Harambee Stars ya Kenya kwa mabao 3-1 katika pambano la kukamilishia ratiba la Kombe la Chalenji.

 

9 years ago

Mwananchi

CHALENJI: Kili Stars yang’ara, Z’bar chali

Wakati Kilimanjaro Stars imefuzu kucheza robo fainali ya mashindano ya Chalenji baada ya jana kuichapa Rwanda mabao 2-1, ndugu zao Zanzibar Heroes wakinyukwa mabao 4-0 na Uganda na kujiweka njiapanda.

 

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

9 years ago

Mwananchi

… Kili yaivaa Somalia, Z’bar yalala 1-0

Wakati Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara ikianza harakati zake za kuwania ubingwa wa Chalenji leo kwa kuikabili Somalia, ndugu zao Zanzibar Heroes wamezama mbele ya Burundi kwa bao 1-0.

 

9 years ago

Habarileo

Kili yatangulia robo fainali, Z’bar yatoka

TIMU ya Kilimanjaro Stars jana ilitinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuichapa Rwanda kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika mjini Awassa, Ethiopia. Wakati Kilimanjaro Stars ikitinga robo fainali wenzao wa Zanzibar Heroes walifungasha virago baada ya kubandikwa mabao 4-0 na Uganda `The Cranes’ katika mchezo uliopigwa mapema jana.

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars go down fighting

Tanzania Mainland’s fairy-tale run at the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup came to an end yesterday after losing to host Ethiopia on 4-3 post match penalties.

 

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars hakuna kulala

Waswahili wanasema ‘Kupanda ngoma kushuka mchongoma’ na hicho ndicho kinachotarajiwa kutokea katika robo fainali za mashindano ya Kombe la Chalenji 2015 zinazotarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars fungu la kukosa

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imetolewa kwenye michuano ya Chalenji kwa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji Ethiopia katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa Addis Ababa nchini Ethiopia. Timu hizo zilifikia hatua ya kupiga penalti baada ya kucheza dakika 90 na kutoka sare ya bao 1-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani