Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaivaa Ndanda FC

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba leo wanauanza mwaka mpya na mchezo wa 13 wa Ligi Kuu Tanzania bara ugenini kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaoni Mtwara dhidi ya wenyewe wao Ndanda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yaivaa Azam, Prison v Mbeya City

 Kulinda heshima, ndicho anachokitaka kocha wa Simba, Goran Kopunovic leo katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam.

 

9 years ago

TheCitizen

Simba win 1-0 against Ndanda

Simba Sports Club yesterday posted a 1-0 victory against Ndanda Football Club in Mtwara in the ongoing Tanzania Mainland Vodacom Premier League match at Nangwanda Stadium.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0

 Ramadhani Singano akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Ndanda FC katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0. (Pichana Francis Dande) Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda FC. Mchezaji wa Ndanda FC akimiliki mpira.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia.Kipa wa Ndanda FC akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

 

9 years ago

TheCitizen

Simba out to regain poise in clash with Ndanda FC

Mainland giants Simba SC have yet another chance to rediscover their winning run in the Mainland Premier League when they confront Ndanda FC at Nangwanda Sijaona Stadium in Mtwara today.

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC MKOANI MTWARA


 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali mstaafu Joseph Simbakalia akikagua timu ya Simba wakati wa mchezo wa kirafiki na timu ya Ndanda FC uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.Kikosi kamili cha timu ya Simba kilichopambana na Ndanda FC.
Kikosi cha Ndanda FC kikiwa klatika picha ya pamoja kabla ya pambano lao na Simba.Wachezazaji wa Simba na Ndanda wakichuana katika uwanja wa Nangwanda Sijaona.Mashabiki wa soka wakifuatilia pambano la Simba na Danda FC.
Kwa habari kamili na...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yaivaa Malawi

Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’ inaivaa Malawi leo saa 11:00 jioni katika pambano la kirafiki la kimataifa litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yaivaa Tuskers leo

>Mabingwa  watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC  leo watashuka Uwanja wa Amaan, kumenyana  na  Tusker Fc ya Kenya, katika mchezo wa Kundi C.

 

10 years ago

Mwananchi

Toto yaivaa Burkina Faso

Baada ya kuwachapa Mwadui FC, Toto African leo watakuwa na kibarua kigumu mbele ya Burkina Faso katika mchezo wa ligi daraja la kwanza utakaopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaivaa Benin

Timu yaTaifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  itaikabili Benin katika mchezo wa kirafiki kimataifa  utakaofanyia leo saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani