Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS YASHINDWA KUFUZU KOMBE LA MATAIFA AFRIKA

Kikosi cha Stars. TIMU ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania kufuzu kucheza Kombe la Mataifa Afrika 2015 baada ya kufungwa mabao 2-1 na timu ya Taifa ya Msumbiji 'Mambaz' leo. Mechi hiyo imepigwa mjini Maputo nchini Msumbiji ambapo Stars imeondolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya sare ya 2-2 katika mchezo kwa kwanza uliopigwa jijini Dar Julai 20 mwaka huu. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika

Mechi za kufuzu tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Afrika zaendelea

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Mataifa ya Afrika

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika itaendelea ilivyopangwa pamoa na kuwepo Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la mataifa ya Afrika 2017

Timu ya taifa ya Misri (Pharaohs) imeitumia salamu Taifa Stars ya Tanzania baada ya kuwafunga Malawi 2-1 katika mechi ya kirafiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la mataifa Afrika kitendawili

Maafisa wa CAF wataamua hii leo kuahirisha michuano ya kombe la mataifa ya Afrika au la

 

10 years ago

BBCSwahili

Tathmini ya Kombe la Mataifa ya Afrika

Baada ya Ivory Coast kuibuka bingwa wa mwaka huu wa Kombe la mataifa ya Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika

Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandalizi:Kombe la Mataifa ya Afrika

Timu mbali mbali zitakazoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zinaendelea kujinoa kwa ajili ya fainali hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchambuzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2015

Wanajadili makundi yote na vile vile utabiri wao ingawa kwa sasa utabiri utakuwa wa siri hadi mwisho wa michuano hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani