Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika Kusini yadorora kwa Hesabu na Sayansi

Afrika kusini imeorodheswha kama taifa linalofanya vibaya zaidi katika masomo ya hisabati na sayansi katika elimu duniani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua kongamano la Kimataifa la Sayansi kwa nchi za Afrika na Kusini mwa jangwa la Sahara, Jijini Arusha

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa  Chuo cha Nelson Mandela cha jijini Arusha wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu ukuzaji na uendelezaji wa Tafiti za Kisayansi kwa nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la sahara. (Picha na OMR).

Kongamano hilo la siku tatu limefanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) Jijini Arusha  Agosti...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI ZA AFRIKA NA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, JIJINI ARUSHA

Kongamano hilo la siku tatu limefanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) Jijini Arusha jana Agosti 5, 2014, na kushirikisha mabingwa mbalimbali wa tafiti ndani ya Afrika na nchi za ukanda wa Jangwa la Sahara.
Kongamano hilo ambalo limedhaminiwa na Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) linalenga kukuza tafiti za kisayansi na kutanua maendeleo ya tafiti hizo ili yasaidie wananchi wa nchi za ukanda huu hasa vijana ambao wanaelezwa kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hali ya Sudani kusini yadorora

Huku serikali ya Uingereza ikitangaza kuwa itawatuma wanajeshi zaidi ya mia tatu kudumisha amani nchni Sudani ya kusini na Somalia

 

11 years ago

Mwananchi

Jitihada za Serikali ‘kuwapika’ walimu wa sayansi na hesabu

Mpango wa mafunzo kazini kwa walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati katika shule za sekondari awamu ya kwanza, umekamilika kwa mafanikio.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzanite yatota kwa Afrika Kusini

Matumaini ya Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana imeingia kiwingu baada ya jana Tanzanite kufungwa na Afrika Kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yaahidi $6.5bn kwa Afrika Kusini

Uchina na Afrika Kusini zimetia saini mikataba na mikopo ya thamani ya $6.5bn (£4.3bn), inayoangazia zaidi miundo mbinu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini

Dawa za kulevya zenye uraibu mkubwa zinaendelea kuikumba AfriKa Kusini hasa kwenye mitaa inayokaliwa na watu maskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani