Soko la hisa Uchina laathiri bara Afrika
Kuporomoka kwa soko la hisa nchini Uchina kunaendelea kuathiri sarafu na uchumi wa mataifa ya bara la Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Ulaghai wadaiwa katika soko la hisa Uchina
Huku bei ya hisa zikiimarika nchini Uchina, wasimamizi wa sekta za uchumi nchini humo wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kile shirika la habari limetaja kuwa ulaghai katika soko la hisa.
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Tanzania:DSE,Soko bora la Hisa Afrika
Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE nchini Tanzania, limetajwa kuwa soko bora la hisa kuliko yote barani Afrika kwa mwaka uliopita.
11 years ago
MichuziWatanzania Wachangamkie Soko la Hisa la Afrika Mashariki
Umetolewa Mwito kwa Watanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji kwa ununuzi wa hisa katika soko la hisa la Jumuiya ya Afrika linalotarajiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Benki ya CRDB inatarajia kuuza Hisa zake katika Soko la Hisa la Nairobi, fursa ambayo itatoa wigo mpana zaidi wa biashara ya hisa za Benki hiyo katika soko la Afrika Mashariki.
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s72-c/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
Waziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-TOBwxK9VnIg/VliDFFHxwXI/AAAAAAAIIqE/V3lDmMLyo4w/s640/9f4a3aca-de84-4ece-9922-d63afd20a4ad.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ue0-2ib1FB0/VliDGkiTKRI/AAAAAAAIIqM/06nLNnuJBSA/s640/f5495cae-d0c8-49ec-bc5d-75a4d05ffd5d.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iOsVEQTLueY/VliDLYkZ82I/AAAAAAAIIqY/k7fiz8VGAh4/s640/8e109898-bfd6-415c-b13f-22fdbc4c8ea7.jpg)
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mauzo ya hisa yayumba Uchina
Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Swala yaingia soko la hisa
NA MWANDISHI WETUKAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala, imeingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), baada ya kukidhi vigezo vya masoko ya mtaji .Swala imekuwa kampuni ya kwanza ya mafuta na gesi kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kuingia kwenye soko la hisa. Hafla ya kuingizwa DSE, ilifanyika juzi mjini Dar es Salaam, ambapo Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ambaye alikuwa mgeni wa heshima, alipiga kengele kuashiria uzinduzi wa kampuni hiyo kuingia DSE. Akizungumza...
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Soko la hisa la Ugiriki lafunguliwa
Soko la hisa nchini Ugiriki limefunguliwa muda mfupi uliopita, baada ya kufungwa kwa miezi mitano.
11 years ago
Habarileo12 Aug
Kampuni ya Swala yaingia Soko la Hisa
KAMPUNI ya Swala Oil & Gas jana imejiorodhesha rasmi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kupitia mlango wa soko dogo, yaani Enterprise Growth Market (EGM) ambalo ni mahususi kwa ajili ya kampuni ndogo na kati.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania