Vijana wanaoshiri kwenye fainali Afrika Kusini waagwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewakabidhi bendera ya Tanzania vijana wanaokwenda kushiriki katika fainali ya kumpata mshindi wa Tuzo ya wajasiriamali vijana wa Afrika ANZISHA itakayofanyika nchini Afrika Kusini Akikabidhi bendera hiyo jijini Dar es salaam Makonda amesema, Serikali imekuwa ikiweka juhudi kuwaunga mkono vijana wajasiriamali kwakuwa nchi ya viwanda haipatikani nje ya ujasiriamali. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema vijana wengi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Tanzania yajifua fainali-vijana Afrika
9 years ago
Michuzi29 Aug
VIJANA WATANO U-15 WAELEKEA AFRIKA KUSINI
![](http://tff.or.tz/images/orlandopirates.png)
9 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Afrika Kusini huenda ikajiondoa kwenye ICC
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Afrika Kusini yakabiliana na tabianchi kwenye miji yake mikubwa
Mkufunzi na mtafiti, Daktari John Odindi, kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini (kulia) katika mahojiano maalum na mwandishi wa Habari mwandamizi wa blog ya modewjiblog.com, Andrew Chale kwenye mkutano wa wanasayansi juu ya mabadiliko ya tabianchi, unaoendelea kwenye ukumbi wa Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa (Picha na Mpiga picha maalum).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika...
10 years ago
Michuzi09 Jul
AFRIKA KUSINI YAKABILIWA NA TABIANCHI KWENYE MIJI YAKE MIKUBWA
![DSC_1900](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_1900.jpg)
Na Andrew Chale, Modewjiblog[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini...