Google yataka ufafanuzi kuhusu Udukuzi
Kampuni kubwa ya Google Imemtaka Rais Obama afafanue pendekezo lake la kuzuia baadhi ya udukuzi unaofanywa na idara ya ujasusi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo.
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Wasiwasi wa Facebook kuhusu udukuzi
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa amezungumza na Rais Barack Obama kumwelezea kero lake kuhusu udukuzi unaofanywa na serikali kwa mitambo ya Dijital.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...
10 years ago
Michuzi15 Jun
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
 Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu namna ya kuadhimisha siku ya Uhuru ya tarehe 9/12/2015 na kusema kuwa siku hiyo sio siku ya mapumziko.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aQo9r1HzapI/VUjIxPkkk7I/AAAAAAAHVgg/Y8TX9Cmyu6o/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-05%2Bat%2B4.36.19%2BPM.png)
UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aQo9r1HzapI/VUjIxPkkk7I/AAAAAAAHVgg/Y8TX9Cmyu6o/s1600/Screen%2BShot%2B2015-05-05%2Bat%2B4.36.19%2BPM.png)
UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI
Utangulizi:
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii hususan Facebook na WhatsApp zilizoainishwa kama “Tuhuma Nzito katika Tasnia ya Sheria”. Kwa ufupi, tuhuma hizo zinadai kuwa baadhi ya Wahadhiri na Watumishi wa Taasisi hii wanafanya “biashara haramu” ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi sambamba na ubadilishaji wa matokeo ya mitihani, hususan Somo la Mirathi (Probate,...
10 years ago
Michuzi24 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3LYTiUcdj6Y/U1uewqvxPLI/AAAAAAAA9_8/zf3coGvVtE8/s72-c/D92A1183.jpg)
Ufafanuzi wa Serikali kuhusu tuzo aliyotunukiwa Jaji Warioba
![Rais Kikwete akimtunuku Nishani, Daraja la Kwanza, ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia alikuwa Mwenyekiti Tume ya kurekebisha Katiba Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika ukumbi wa mikutano, Ikulu jijini Dar es Salaam Aprili 25, 2014. (picha, maelezo: Freddy Maro, IKULU) Rais Kikwete akimtunuku Nishani, Daraja la Kwanza, ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia alikuwa Mwenyekiti Tume ya kurekebisha Katiba Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika ukumbi wa mikutano, Ikulu jijini Dar es Salaam Aprili 25, 2014. (picha, maelezo: Freddy Maro, IKULU)](http://4.bp.blogspot.com/-3LYTiUcdj6Y/U1uewqvxPLI/AAAAAAAA9_8/zf3coGvVtE8/s1600/D92A1183.jpg)
Na Magreth Kinabo, Maelezo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka kwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania