UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aQo9r1HzapI/VUjIxPkkk7I/AAAAAAAHVgg/Y8TX9Cmyu6o/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-05%2Bat%2B4.36.19%2BPM.png)
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI
Utangulizi:
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii hususan Facebook na WhatsApp zilizoainishwa kama “Tuhuma Nzito katika Tasnia ya Sheria”. Kwa ufupi, tuhuma hizo zinadai kuwa baadhi ya Wahadhiri na Watumishi wa Taasisi hii wanafanya “biashara haramu” ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi sambamba na ubadilishaji wa matokeo ya mitihani, hususan Somo la Mirathi (Probate,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais
Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mkurugenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F7EIi5NehBo/VORhtX6GMzI/AAAAAAAHEVw/h6bzQRhEct8/s72-c/New%2BPicture.bmp)
UFAFANUZI KUHUSIANA NA TUHUMA ZA VITENDO VYA UNYAMA MGODINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-F7EIi5NehBo/VORhtX6GMzI/AAAAAAAHEVw/h6bzQRhEct8/s1600/New%2BPicture.bmp)
TAARIFA KWA UMMA17 Februari, 2015.
Kampuni ya STAMIGOLD Biharamulo ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) inakanusha vikali taarifa zilizotolewa na mtandao wa kijamii unaojulikana kama Jamii Forums mnamo tarehe 15 Februari, 2015 kuwa kuna unyama wa kutisha uliofanyika Mgodi wa Dhahabu Biharamulo tarehe 26 Octoba, 2014.
Mgodi wa Stamigold Biharamulo unakanusha tuhuma zote za mauaji zilizotolewa na Jamii Forums kwani taarifa hizi ni...
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Matokeo ya Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mei 2014 yatangazwa rasmi
Kaimu Katibu Mkuu wa baraza la Taifa la Mitihani, Dk. Charles E. Msonde akisoma matokeo hayo ya mitihani ya Ualimu kwa mitihani iliyofanyika mwaka huu nchini kote.
Matokeo ya Mitihani ya Mei 2014 yanapatikana katika Tovuti zifuatazo:
www.matokeo.necta.go.tz, www.necta.go.tz au www.moe.go.tz na www.pmoralg.go.tz
Press Release Ualimu Template 2014
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AzTwqXxWns8/VB1Q7NTLdpI/AAAAAAAGkwQ/JVBHfXYsqDU/s72-c/Untitled.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LATOA UFAFANUZI JUU YA TUHUMA MBALI MBALI LINAZOTUPIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AzTwqXxWns8/VB1Q7NTLdpI/AAAAAAAGkwQ/JVBHfXYsqDU/s1600/Untitled.jpg)
Kufuatia tuhuma hizo, Jeshi la Magereza Tanzania Bara limefanya uchunguzi kwa kufanya mazungumzo na Watuhumiwa wenyewe na wamekanusha tuhuma hizo dhidi ya Jeshi la Magereza. Ukweli ni kuwa taarifa hizo...
10 years ago
Michuzi15 Jun
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Google yataka ufafanuzi kuhusu Udukuzi