WASIRA AWAHIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s72-c/MTWARA1.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akiongea na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwa
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akipokewa na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwa
Na Woinde Shizza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s72-c/MTWARA1.jpg)
WASIRA AWAIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s640/MTWARA1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDhr9xPxS1Y/VXm8ZQPfM0I/AAAAAAAAPHk/HKW-54R1_T8/s640/MTWARA2.jpg)
Na Woinde Shizza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SMxCktd9lV8/VTpa8ewIU8I/AAAAAAAHS9Y/dX_YT_EvH14/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
11 years ago
MichuziNORWAY YADHAMIRIA KUWEKEZA LINDI KATIKA SEKTA YA GESI NA UVUVI
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Dk Bilal ataka sekta binafsi kuwekeza katika kilimo
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wakulima wadogo wamtaka Magufuli kuwekeza katika kilimo
5 years ago
MichuziNBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sAifaC4ygvc/VXdkwbHAtxI/AAAAAAAHdi8/gMZayrnJRSM/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
Waziri Wasira awahimiza wawekezaji kuharakisha mchakato wa kuanza kuunganishwa matrekta hapa nchini