Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yajipanga kuondoa ajali za barabarani nchini

IMG_2079

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiongea na waandishi wa Habari(Hawapo pichani) mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ikiwemo kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kuendelea kununua vifaa vya kisasa vitakavyosaidia kupunguza tatizo la ajali nchini,wakati wa mkutano uliofanyika  jijini Dar es Salaam.

IMG_2065

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiwaonyesha waandishi wa Habari(Hawapo pichani)...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali imekata tamaa ajali za barabarani?

Taifa limo katika majonzi kutokana na ajali iliyotokea mkoani Singida juzi usiku na kuua watu 19, wakiwamo askari polisi wanne wa Kituo Kikuu cha Polisi mkoani humo baada ya kugongwa na basi la abiria lililokuwa likitoka Kigoma kwenda Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Ajali za barabarani zapungua nchini - Kamanda Mpinga

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga(kulia)akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na maswala ya usalama barabarani,anaeshuhudia kushoto Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (SMS) wanapokuwa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YA MIFUGO NCHINI.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua eneo linalotumika kuchoma nyama kwenye mnada wa Ndelema uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga wakati akihitimisha ziara yake wilayani .
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiangalia moja ya aina za samaki zinazopatikana katika bwawa la samaki la asili lililopo Kijiji cha Kweingoma Wilaya Handeni Vijijini.



Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na wafugaji na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yajipanga kukabiliana na Wizi wa Umeme Nchini!

Badra 01

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani)mapema leo jijini Dar es Salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na tatizo la wizi wa umeme na kuimarisha ukaguzi ili kubaini wateja wasio waaminifu na kuwachukulia hatua za kisheria. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa. (Picha na Fatma Salum- Maelezo)

Na. Fatma Salum – MAELEZO

Serikali inatarajia kuunda kikosi maalum...

 

10 years ago

Michuzi

serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini

Serikali kwa kupitia mkataba wa Motrial wa mwaka 1987 imejipanga thabiti katika kuhakikisha kuwa tatizo la uharibifu wa tabaka la ozini linapata suluhu Tanzania.
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...

 

11 years ago

Michuzi

wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini

Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Novatus Makunga ameeleza kuwa serikali wilayani humo imejipanga kuondoa kero zote zinazoawakabili wananchi wanapoenda kutibiwa katika hospitali ya serikali ya wilaya hiyo zikiwemo lugha chafu za watumishi wa hospitali hiyo Mhe.  Makunga ametoa kauli hiyo katika mikutano yake ya hadhara na wananchi wa mitaa ya Kingereka na Kibaoni katika kata ya Hai Mjini.  Awali wananchi wa mitaa hiyo walieleza kuwa kero kubwa wanayokumbana nazo katika hospitali hiyo ni pamoja na...

 

9 years ago

StarTV

 Polisi yajipanga kukamata wavunjaji Wa Sheria Za Barabarani

Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku magari ya abiria kubeba abiria kupita uwezo wake na kuonya kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera -Bulimba amesema wamejipanga kufanya operesheni kali nchi nzima ya kukamata madereva wasiofuata sheria za usalama barabarani.

Msemaji wa Jeshi la Polisi Advera John Bulimba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu operesheni ya kuwakamata madereva wote watakaozidisha...

 

9 years ago

Mwananchi

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

Vijana wa Jeshi la Wananchi juzi walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

JWTZ yavamia kijiji kuondoa vizuizi barabarani

  Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.By Lauden Mwambona na Justa Musa

Mbeya / Tukuyu. Vijana wa Jeshi la Wananchi jana walivamia nyumba za wananchi waliokaribu na barabara kuu ya kutoka Mbeya kwenda Malawi katika wilaya ya Rungwe na kuwataka waamke kuondoa vizuizi vya moto, magogo na mawe vilivyokuwa kwenye barabara hiyo.

Kazi hiyo ilifanywa baada ya vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Ukawa kuweka vizuzi vya moto, magogo na mawe kwenye barabara hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani