Kumiliki nyumba kisiwe kigezo cha kunyanyasa wapangaji !
KAMA kuna watu ambao wana hadhi zote za kuwa ‘miungu watu’ wa hapa duniani, basi ni pamoja na baadhi ya wale wenye nyumba za kupangisha hususan Jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYroIhRbPRIFCfBywLV7KJ*IsDdG6lZDybr2Z48nYLsnbCleIYgDwFCeTiqMm*XvY9hLG*a-9EVO6sKrrTVYR5uk/MiriamGiovanelli1920x1080001.jpg?width=650)
SHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Mwandosya: Fedha si kigezo cha Urais
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, amesema fedha si kigezo cha mtu kuteuliwa kuwania nafasi ya urais na kwamba, imani iliyojenga haina mashiko.
Amesema suala hilo limekuwa likimtatanisha na kueleza kuwa kiongozi huchaguliwa kutokana na uadilifu na uwezo wake na si kigezo cha fedha kama baadhi ya makada walivyojenga imani hiyo.
Profesa Mwandosya, ambaye ni miongoni mwa makada wa CCM wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais mwakani, alisema imani...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
'Vipimo vya sketi kigezo cha Saratani'
9 years ago
Mwananchi23 Dec
‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Fedha zinapogeuka kigezo cha kugombea BFT!
NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada kupeana changamoto za kimichezo, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Kwanza kabla ya kuendelea,...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ataja kigezo kipya cha kupima maofisa elimu
SERIKALI imesema itawapima Maofisa Elimu wa Mikoa na Wilaya kwa kurudisha shuleni wanafunzi watoro kwa asilimia 100 bila kujali ana mimba au la.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015
10 years ago
Bongo530 Sep
Akothee: Msanii wa Kenya aliyepitia udereva ma3/taxi hadi kumiliki kampuni ya tour na nyumba za kupanga (Video)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FpRUhBaXnVQ/XvGeISkGSnI/AAAAAAALvBg/B41UArfGfS8G0CE6JBfzcVxLBaSAYTX2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B8.45.13%2BAM.jpeg)
UGONJWA WA CORONA USIWE KIGEZO CHA WATOTO KUKOSA CHANJO
Na WAMJW - Dodoma
Serikali imeitaka jamii kuhakikisha watoto wanapata chanjo kipindi hichi chenye maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid-19) ili wapate kinga ya magonjwa mengine.
Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Watoto, Dk.Ahmad Makuwani kwenye semina ya waandishi wa habari wa Mikoa ya Singida na Dodoma kuhusu huduma za chanjo nchini.
Amesema maambukizi ya Corona kwasasa yamepungua na kuwataka watanzania kutotumia ugonjwa huo kama sababu ya kutowapeleka...