Akothee: Msanii wa Kenya aliyepitia udereva ma3/taxi hadi kumiliki kampuni ya tour na nyumba za kupanga (Video)
Kwa msichana mwingine, kuachwa na mume aliyekuwa akimtegemea kwa kila kitu na kuachiwa watoto wadogo wanaohitaji kula na kwenda shule, kingekuwa chanzo cha kuamua kwenda kufanya kazi hatarishi ikiwemo kujiuza mwili wake. Hata hivyo, kwa Esther Akoth Kokeyo anayejulikana kwa jina la muziki kama Akothee, hali ilikuwa tofauti. “Nilipopata talaka niliona maisha yamenikatikia,” Akothee aliambia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kutoka ‘hausigeli’ hadi kumiliki maduka London (1)
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Taxi zasusia kumbeba msanii mweusi Australia
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, imemhukumu msanii wa ngoma za asili, Mng’ahwa Kazanza (42), kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kumiliki fisi wawili na kuwatumia kwenye sanaa zake bila kibali.
Awali akisomewa mashtaka katika mahakama hiyo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi, ilielezwa mahakamani hapo kuwa mnamo Septemba 28, mwaka huu, kwenye Kijiji cha Sisu wilayani Misungwi, majira ya saa 7:30 mchana, Mng’ahwa Kazanza (42)...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI KUDHAMINI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA MSANII “LINAH"
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Utapeli wa nyumba za kupanga waibuka
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Karaha za kupanga nyumba Dar
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Matapeli nyumba za kupanga watokomezwe
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Aina za kampuni unazoweza kumiliki
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kampuni ya Taxi nchini India matatani