Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 May
Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yafurahisha bodi ya shirika hilo
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/tE-t2I5uSLEWjZtuhLOll7UHdT78UV7XPutQfrKQzS5qiAR3OpZv2GxR0KG6frIqi3zOzr4t5tkbWIBNJa-cFzsV3la6JhBkFRyZX2bF57-fV-D8YNNKpOq2OSnpsQYx-NGPW1M63Alkp_m-V0dNPP8EXKkbnSfj2zRgYRokqUx2BPYFPhxuaF2VDXACcmHMSM8xSzDEwXKI1fHLs7G5Ct_ftUctrrapCOQ5d9NUhGowjlHHppc67tNzVaTbGvZ9Q3SnxK0Fv2T4vk-xIhMSmwOjv2mWFKSlltWXKgGJPAfAxVyBIp7vSWP1hIWXSR1Sm6y1LarR8hiD=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-tr53jImlnkQ%2FVUZAf8gVxoI%2FAAAAAAAANmU%2FKGSyHH-gGxw%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPLUTEKELEZAJI WA MIRADI YA NHC MTWARA WASHIKA KASI
9 years ago
Michuzi14 Aug
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
![New Picture (13)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
![New Picture (14)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-14.png)
![New Picture (15)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-15.png)
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/New-Picture-13.png)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
10 years ago
Dewji Blog01 Nov
NHC watathmini utekelezaji wa ujenzi wa miradi
Meneja wa NHC Mkoa wa Tabora, Erasto Chilambo akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Isikizya zilizopo wilayani Uyui mkoani Tabora kwenye semina ya mameneja na wakurugenzi wa NHC inayoendelea katika Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Meneja wa NHC Mkoa wa Dodoma, Itandula Gambalagi akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo, Kongwa Dodoma kwenye semina ya mameneja na wakurugenzi wa NHC inayoendelea katika Hoteli...
10 years ago
Michuzi31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC atembelea miradi Geita na Mwanza
![](https://4.bp.blogspot.com/-ijgj0MQ_iM8/VMvr3SNYRJI/AAAAAAAAAV8/X8xLAkA8qds/s1600/New%2BPicture%2B%2837%29.png)
![](https://4.bp.blogspot.com/-KUC3XCiW87I/VMvr8zPTVOI/AAAAAAAAAWM/5Q4O-cLqZVw/s1600/New%2BPicture%2B%2838%29.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
VijimamboNHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog07 May
Bodi ya NHC yatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lro-IwdEGc/VUsmtQhKHsI/AAAAAAAAAZQ/omqzeXLpG5Q/s640/New%2BPicture%2B(1).png)
Ujumbe wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC ukiwa eneo linalomilikiwa na NHC ambalo ujenzi wa Mji wa kisasa umeanza wakionyeshwa na Meneja wa NHC Mkoa wa Arusha Bw. James Kisarika chemchemu za maji yanayotiririka walipotembelea eneo hilo lenye hali ya hewa ya aina yake Jijini Arusha jana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu4PmAkejKc/VUsmm0Ad9jI/AAAAAAAAAZI/knjxNUWielc/s640/New%2BPicture%2B(2).png)
Usa River ni Arusha Tanzania ambapo NHC Shirika lenye dhamana ya kujenga nyumba bora hapa nchini limeanza kupanga mji huo wenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia. Hapa wajumbe wa Bodi ya NHC na...
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Ziara ya Mkurugenzi mkuu wa NHC katika mikoa kukagua miradi
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Mlole Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Ilembo Katavi. Nyumba hizo 70 zimeshakamilika na zinauzwa kwa wananchi wote wanaohitaji.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na akiwa eneo la Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kukagua eneo ambalo ujenzi wa nyumba za gharama nafuu umeshaanza.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu...