Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali

TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

The Filbert Bayi spirit would help us greatly

We all know what parliament is, and we are all ashamed of it.” Those are the words of the Scottish author, Robert Louis Stevenson, who penned the novel, “Treasure Island,” whose Swahili translation “Kisiwa Chenye Hazina” was popular across East Africa in the 1970s and 1980s.

 

10 years ago

Mwananchi

Filbert Bayi aishangaa Serikali

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao.

 

10 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi

Wanafunzi 70 wa Shule ya Msingi Filbert Bayi iliyopo mjini Kibaha, mkoani Pwani, wamenusurika kuteketea kwa moto baada ya mabweni mawili ya shule hiyo kushika moto na kuungua kabisa.

 

10 years ago

CloudsFM

SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO

SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.

Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi

MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Njia za kupata utajiri kijasiriamali

Watu wengi huwa wanatamani kutajirika lakini ukichunguza ni wachache wanaofikia ndoto hizo. Leo nataka tujiulize ni kwa nini wengi wanashindwa kufikia lengo hilo?

 

10 years ago

Dewji Blog

TIGO waja na huduma ya kijasiriamali

4322-tigo

Tigo, kampuni yenye ubunifu zaidi wa kidijitali nchini na EduMe, inayotoa huduma ya kwanza ya kimataifa ya mambo ya elimu kupitia simu wamezindua  bidhaa ya kipekee ya ujasiriamali kwenye simu kwa wateja wa Tigo nchini Tanzania.

Shule ya Biashara inawawezesha watumiaji kujifunza ujuzi wa biashara na ujasiriamali kwa bei nafuu kabisa kupitia kwenye simu yoyote ya mkononi. Tigo Tanzania, ambayo ni sehemu ya kampuni ya kimataifa ya mawasiliano ya simu na vyombo vya habari ya Millicom, ni ya...

 

10 years ago

Michuzi

KIDOTI :VIJANA WA JIJI LA ARUSHA CHANGAMKIENI FURSA ZA KIJASIRIAMALI


 Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kidoti Jokate Mwegelo  (kidoti) akiwa na mabalozi wake aliwapata ndani ya mkoa wa Arusha tayari kwa kwenda mtaani kutangaza bidhaa zake zake za kidoti zilizoingia jijini Arusha kwa mara ya kwanza 


 warembo wa Kidoti wakiwa wako katika pozi wameshikilia baadhi ya bidhaa za Kidoti 

 mmoja wa mabalozi wa kidoti  aliyejulikana kwa jina la Anolia Agustino akiwa anaongea na waandishi wa habari Meneja masoko wa kampuni ya kidoti Peter Kasija akiwa anaongea na...

 

9 years ago

TheCitizen

Bayi comes to defence of runners

TOC secretary general Filbert Bayi says Tanzanian athletes deserve compliment rather than criticism

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani