Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali
TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen01 Jun
The Filbert Bayi spirit would help us greatly
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Filbert Bayi aishangaa Serikali
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi
10 years ago
CloudsFM12 Nov
SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO
SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.
Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi
MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Njia za kupata utajiri kijasiriamali
10 years ago
Dewji Blog18 May
TIGO waja na huduma ya kijasiriamali
Tigo, kampuni yenye ubunifu zaidi wa kidijitali nchini na EduMe, inayotoa huduma ya kwanza ya kimataifa ya mambo ya elimu kupitia simu wamezindua bidhaa ya kipekee ya ujasiriamali kwenye simu kwa wateja wa Tigo nchini Tanzania.
Shule ya Biashara inawawezesha watumiaji kujifunza ujuzi wa biashara na ujasiriamali kwa bei nafuu kabisa kupitia kwenye simu yoyote ya mkononi. Tigo Tanzania, ambayo ni sehemu ya kampuni ya kimataifa ya mawasiliano ya simu na vyombo vya habari ya Millicom, ni ya...
10 years ago
MichuziKIDOTI :VIJANA WA JIJI LA ARUSHA CHANGAMKIENI FURSA ZA KIJASIRIAMALI
mmoja wa mabalozi wa kidoti aliyejulikana kwa jina la Anolia Agustino akiwa anaongea na waandishi wa habari
9 years ago
TheCitizen27 Aug
Bayi comes to defence of runners