Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIGO waja na huduma ya kijasiriamali

4322-tigo

Tigo, kampuni yenye ubunifu zaidi wa kidijitali nchini na EduMe, inayotoa huduma ya kwanza ya kimataifa ya mambo ya elimu kupitia simu wamezindua  bidhaa ya kipekee ya ujasiriamali kwenye simu kwa wateja wa Tigo nchini Tanzania.

Shule ya Biashara inawawezesha watumiaji kujifunza ujuzi wa biashara na ujasiriamali kwa bei nafuu kabisa kupitia kwenye simu yoyote ya mkononi. Tigo Tanzania, ambayo ni sehemu ya kampuni ya kimataifa ya mawasiliano ya simu na vyombo vya habari ya Millicom, ni ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao

1

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.

Tigo Tanzania leo imekuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Tigo yaboresha huduma zake

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Tigo Tanzania, imezindua huduma mpya ya kutuma na kupokea fedha kwa njia rahisi na ya ufanisi zaidi kwa wateja wenye simu zenye programu aina ya android na iOS, ambayo ni huduma ya kwanza ya aina hiyo Afrika Mashariki.

 

5 years ago

Michuzi

Huduma ya Tigo Rusha yaja kivingine

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Tigo Tanzania, David Umoh akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani ) kwa njia ya Mtandao wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Tigo Rusha Mapema leo Jijini Dar ES Salaam. Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania leo imezindua huduma mpya iliyoboreshwa inayomuwezesha mteja wa Tigo kununua muda wa maongezi pamoja na vifurushi kutoka katika maduka ya Tigo (Tigo shops) na katika maduka ya rejareja...

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo, Airtel, Zantel zaunganisha huduma

Kampuni za simu za mkononi za Tigo, Airtel na Zantel zimeunganisha huduma zao za kutoa, kutuma na kuweka fedha na sasa mteja anaweza kutuma fedha kutoka mtandao mmoja kupitia mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Vodacom, Tigo sasa kuunganisha huduma

Zaidi ya wateja milioni 11 wa huduma za M-pesa na Tigo Pesa nchini, wanatarajiwa kunufaika na gharama nafuu za kutuma fedha baina ya mitandao hiyo kuanzia mwaka huu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Huduma ya Tigo Pesa kusitishwa kwaajili ya uboreshaji

unnamed

Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania itasitisha huduma zake maarufu za kutuma na kupokea fedha ya Tigo Pesa wikendi hii kwa muda wa saa 17 ili kufanya  maboresho ya huduma hiyo.

Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na kampuni ya simu jijini Dar es Salaam inasema kuwa kusitishwa kwa huduma ya Tigo Pesa kuanzia Jumamosi usiku hadi Jumapili mchana utakuwa mwendelezo wa zoezi la uboreshaji wa huduma za kifedha za simu kwa takribani siku saba, “ kuifanya huduma ya Tigo Pesa kuwa ya kasi, imara...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Dodoma

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE jijini Dodoma, kushoto ni Meneja wa huduma ya 4G LTE, Benedict Mponzi.

Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini kutoka Tigo Bw.George Lugata akimkabidhi Bw.Danson Kaijage kushoto laini mpya ya 4G LTE katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE, katikati ni Territory Meneja wa Dodoma, Singida na Kondoa Bw.Innocent Anthony kutoka Tigo jijini Dodoma.

-Ni baada ya kuanza kutoa huduma...

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo kutoa huduma ya Facebook kwa Kiswahili

Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imezindua mpango wa kutoa bure huduma za mtandao wa kijamii wa Facebook kwa lugha ya Kiswahili.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo wafungua duka huduma kwa wateja

Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo imefungua maduka 50 nchini ili kurahishisha upatikanaji huduma kwa wateja wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani