NAIBU WAZIRI NYONGO AONGOZA KIKAO CHA MARIDHIANO NA KUPOKEA OMBI LA MWEKEZAJI
NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Nzega ili kusikiliza maombi na kutatua changamoto za wachimbaji wadogo wa madini Aprili 27 mwaka huu
NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo kulia akihoji jambo kwa wachimbaji waliokuwa wakilalamika kutopewa leseni kwenye eneo ambalo waliliomba jambo ambalo RMO alipaswa kukaa na pande hizo kutafuta muafaka
NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akizungumza na waandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA TUME YA JESHI LA POLISI, MAGEREZA NA UHAMIAJI JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2AA-1024x682.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU KUHUSU CORONA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu ugonjwa wa Corona (COVID – 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu cha kujadili ugonjwa wa Corona (COVID- 19) nchini kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na kulia ni...
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_qvHy_dLSWw/XkamW_c6DvI/AAAAAAALdYM/gWMEaT_ze44WZi-F_3PxVE01gvuc2uRlgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-12-1024x732.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA UTEKELEZAJI WA BAJETI NA MIRADI YA MAENDELEO YA MAKAO MAKUU YA WIZARA NA NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_qvHy_dLSWw/XkamW_c6DvI/AAAAAAALdYM/gWMEaT_ze44WZi-F_3PxVE01gvuc2uRlgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-12-1024x732.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AllixfSaP3k/Xr6qBS83uaI/AAAAAAALqXg/6XiVdJ9YC9AbUWdubWS3KWK1iDqXT_jvwCLcBGAsYHQ/s72-c/B32A9700.jpg)
Naibu Waziri Nyongo autaka uongozi wa Stamigold kushirikiana na wafanyakazi kuzalisha kwa ufanisi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AllixfSaP3k/Xr6qBS83uaI/AAAAAAALqXg/6XiVdJ9YC9AbUWdubWS3KWK1iDqXT_jvwCLcBGAsYHQ/s640/B32A9700.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akionesha eneo alipokuwa akipewa maelekezo ya namna kazi za uchimbaji zinavyofanyika katika mgodi wa Stamigold uliopo wilayani Biharamulo mkoani Kagera alipofanya ziara ya kikazi mgodini hapo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9749.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akitoa maelekezo kwa viongozi na watumishi wa mgodi wa Stamigold mara baada ya kupokea taarifa za kiutendaji na kukagua mgodi huo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9730.jpg)
Meneja wa uchimbaji, Mhandisi...
5 years ago
CCM BlogNAIBU WAZIRI NYONGO AUTAKA UONGOZI WA STAMIGOLD KUSHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI KUZALISHA MADINI KWA UFANISI
Na Nuru Mwasampeta, WM
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuongeza uzalishaji katika mgodi huo. Amesema ,uongozi wa wizara utafika mgodini hapo mara kwa mara kusikiliza na kutatua changamoto zao ili kuongeza uzalishaji.
Amewataka viongozi hao kufanya kazi na wasambazaji na wataalamu wa nje wenye uadilifu na ufanisi mkubwa ili kusaidia katika kuongeza uzalishaji mgodini hapo. “Msione shida...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-8.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-2-9.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s72-c/B32A9577.jpg)
Naibu Waziri Nyongo awataka viongozi wa vijiji kushiriki kutoa elimu ya uwekezaji sekta ya madini kupunguza migogoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s640/B32A9577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda (shati ya draft) nyuma yao ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Fredy Mahobe na wajumbe wengine wakitoka kukagua jengo lililoandaliwa kwa ajili ya kufungua soko la madini la wilaya hiyo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9571.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s640/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cDxvCexYvLU/VVbhARd65HI/AAAAAAAHXhA/qKOK5L8OPL8/s640/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LrS4XjW6TLA/VVbhARfpdVI/AAAAAAAHXhI/UXEUZWO6CiE/s640/unnamed%2B(31).jpg)