Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF KUWEKEZA VITUO VYA MFANO KIGOMA, MTWARA

 

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Michael Mhando akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mikakati ya Mfuko huo ya ujenzi wa Vituo vya mfano vya matibabu.
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kuanza ujenzi wa vituo vya matibabu vya mfano katika mikoa ya Mtwara na Kigoma katika mwaka huu wa fedha wa 2015/2016.


Mikakati hiyo imesemwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NHIF YAFANYA ZIARA KWENYE VITUO VITATU VYA AFYA WILAYANI KISARAWE, PWANI

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya ziara katika vituo vya afya vitatu vilivyopo Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani, yenye lengo la kuzungumza na wananchi wanaopatiwa matibabu kwenye hospitalini hizo na kuwasikiliza kero wanazokumbana nazo wakati wa kupata huduma.
na kutoa msaada wa mashuka 100.
Akizungumza wakati za ziara hiyo, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko huo, Rehani Athuman, alisema kuwa wameamua kufanya ziara hiyo kujua ni namna gani wananchi wanapatiwa kuduma kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA MATIBABU MKOANI RUKWA WAPEWA ELIMU YA UTARATIBU WA MIKOPO MBALIMBALI INAYOTOLEWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)

Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Ndugu Smythies Pangisa akichangia na kufunga Semina maalum ya siku moja iliyoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kuwaelimisha wadau wa vituo mbalimbali vya kutolea huduma za matibabu Mkoani Rukwa juu utaratibu wa Mfuko huo katika kutoa mikopo ya vifaa tiba, dawa na ukarabati wa vituo vya kutolea huduma za matibabu. Lengo kuu la utaratibu huo ulioanzishwa na Mfuko wa Bima ya Taifa ni kuboresha huduma za matibabu kwa wanachama wake na watanzania kwa ujumla....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dodoma, Mtwara mfano bora uagizaji dawa

NAIBU Waziri wa Afya Dk. Steven Kebwe ameipongeza mikoa ya Dodoma na Mtwara kwa kuwa na wazabuni wa dawa ambao huifanya mikoa hiyo kutokuwa na ukosefu wa dawa pindi Bohari...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkabogo: Kijiji cha kupigiwa mfano kielimu Kigoma

Jua la mchana linawaka katika Kijiji cha Mkabogo kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Kairuki apongeza kampuni ya Qwihaya kuwekeza mkoa wa Kigoma

Na Francis Godwin , Iringa WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki ameeleza kufurahishwa na kasi ya uwekezaji inayofanywa na kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd kwa kuwekeza viwanda vya nguzo katika mikoa mbali mbali ukiwemo mkoa wa Kigoma na kutaka wadau wengine kuelekeza nguvu zao katika mkoa wa Kigoma badala ya kuwekeza Dar es Salaam ,Dodoma na mikoa mingine ambayo ni rahisi kufikika .
Alisema...

 

9 years ago

Habarileo

NHIF Kigoma yakabidhi mashuka 50

IMEELEZWA kuwa mikopo ya vifaa tiba na vitendanishi inayotolewa na mfuko wa Taifa wa Bima ya afya imekuwa msaada mkubwa katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa vifaa katika vituo vya afya na hospitali mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

WASIRA AWAIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akiongea na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwaWaziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akipokewa na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwa 
Na Woinde Shizza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...

 

10 years ago

Michuzi

WASIRA AWAHIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akiongea na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwaWaziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira akipokewa na baadhi ya wanachama wa CCM mkoani Mtwara alipofika kuomba kudhaminiwa

Na Woinde Shizza

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...

 

5 years ago

Michuzi

VIWANDA VIWILI VYA MFANO VYA UCHENJUAJI DHAHABU VYAZINDULIWA NCHINI

WAZIRI wa Madini Doto BitAeko katikati akijiandaa kukata utepe hafla ya uzinduzi wa viwanda hivyo vya Mfano.Mtaalamu wa kuendesha mitambo ya uchenjuaji wa dhahabu kwa kutumia teknolojia ya Kisasa Gabriel Masanyiwa akitoa maelezo ya hatua zinazopitiwa mpaka kupata dhahabu.Waziri wa Madini, Doto Biteko akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kilipojegwa kiwanda cha kuchenjua dhahabu bila kutumia kemikali ya zebaki cha Katente wakati wa uzinduzi wa kiwanda hicho uliofanyika tarehe 26...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani