MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID SADIKI AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick, ameitaka Bohari ya Dawa MSD kuendeleza kasi ya huduma zake za kupambana na ugonjwa wa malaria kwakuwa ni moja ya taasisi zilizo mstari wa mbele kupunguza vifo vitokanavyo na ugonjwa huo.Akizungumza jana katika banda la MSD ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Malaria duniani Sadick alisema MSD imekuwa ikifanya jitihada kuhakikisha ugonjwa wa malaria unakoma na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo vinapungua.Alisema jitihada hizo za MSD zimechangia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID MECKY SADICK AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya...
10 years ago
VijimamboBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MPYA WA MKURUGENZI MKUU WA BOHARI YA DAWA (MSD)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ofYiqu1aRNs/Xq7vqN20XWI/AAAAAAAC4cc/4a5z3gVQdxwMkjJMhz6AfRisEKyjE__2ACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Uteuzi wa Brig. Jen Dkt. Mhidize unaanza mara moja, leo tarehe 03 Mei, 2020.
Kabla ya uteuzi huo, Brig. Jen Dkt. Mhidize alikuwa Mkuu wa Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Brig. Jen Dkt. Mhidize anachukua nafasi ya Bw. Laurean Rugambwa Bwanakunu ambaye...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s72-c/DSC_9936.jpg)
MSD yatoa utaratibu wa manunuzi ya dawa ndani ya bohari ya dawa
![](http://2.bp.blogspot.com/-T56Ho0rXFCo/UwYiy9pDnLI/AAAAAAAFOXQ/-1v0oRADaOc/s1600/DSC_9936.jpg)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BOHARI YA DAWA MSD
10 years ago
MichuziBOHARI YA DAWA (MSD) YAELEZEA MIPANGO YAKE YA KAZI
Dotto Mwaibale
WASIMAMIZI wa vituo vya afya, zahanati, hospitali za wilaya, mkoa na hospitali za rufaaa wametakiwa...
10 years ago
GPLBOHARI YA DAWA (MSD) YAELEZEA MIPANGO YAKE YA KAZI