Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Enoc Afrika yashinda zabuni uagizaji mafuta

KAMPUNI ya mafuta ya ENOC Afrika, imeshinda zabuni ya uagizaji mafuta chini ya mfumo wa uagizaji wa pamoja ‘Petroleum Bulk Procurement System’ (BPS) kwa Oktoba mwaka huu. Zabuni hiyo ilivutia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ufisadi wagubika zabuni uagizaji mafuta

Charles_MwijageNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

HOFU imetanda kwa watumiaji magari na mitambo nchini kutokana na taarifa kwamba bei ya dizeli na petroli inaweza kupanda kutokana na kuzuka utata katika zabuni  Namba PIC/2015/G-P/37 iliyopewa Kampuni ya Nishati ya Augusta bila kufuata utaratibu wa zabuni rasmi.

Zabuni hiyo ambayo ni ya kuagiza mafuta nje ya nchi ndiyo inatajwa kuwa ghali zaidi tangu Kampuni ya Uratibu wa Uagizaji wa Mafuta (PICL) ianzishwe miaka kadha iliyopita.

Kwa mujibu wa habari...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yashinda Afrika Kusini kriketi

Uingereza imepata ushindi wa wiketi sita kwa mikimbio 38 pekee siku ya tano ya mechi ya kimataifa na kukamilisha ushindi wa mikimbio 241 dhidi ya Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda taji la voliboli Afrika

Kenya iliishinda Algeria seti 3-0 katika mechi ya fainali na kuibuka mshindi wa mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake katika ukumbi wa Kasarani, jijini Nairobi.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (kulia) akipokea tuzo ya ubora ya Superbrand ya Afrika Mashariki  kutoka kwa Mkurugenzi Mradi wa Taasisi ya Superbrands Ukanda wa Afrika, Jawad Jaffer katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Rukia Mtingwa.  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks akizungumza katika hafla hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (wa pili...

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki

Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.

Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa...

 

10 years ago

Michuzi

CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.

 Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville,Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba,Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance. Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa kampuni ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Enoc wins fuel tender

>After bidding to the lowest, ENOC Africa, a Tanzanian oil company, has won a tender to import fuel under the Petroleum Bulk Procurement System (BPS) for October this year.

 

11 years ago

Dewji Blog

ENOC Africa wins another tender to import fuel

ENOC 3

 By Staff Writer

ENOC Africa, a Tanzanian oil company, has won a tender to import fuel under the Petroleum Bulk Procurement System (BPS) for the month of October this year.

The tender, which attracted six oil companies including five foreign and international companies, was awarded to ENOC Africa after offering the lowest Weighted Average Premium per Metric Ton of $ 45.771 per MT.

Other companies (all international) that participated in the tender include Addax Energy SA which quoted $...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani