Kilango aripoti Elimu na kuahidi makubwa
WAFANYAKAZI katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa bidii katika kuhakikisha wanakabiliana na changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini na kuwataka kutambua kuwa wizara inatumikia kundi kubwa la wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Mar
Kilango atetea Sera mpya ya Elimu
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela amesema hashangazwi na baadhi ya watu wanatoa manung’uniko juu ya Sera mpya ya Elimu, iliyozinduliwa hivi karibuni, kwani imekuwa ni kawaida kwa jambo jema, linalofanywa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kulalamikiwa.
10 years ago
MichuziMh. Anne Kilango aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X8JSv4rUSKo/VTXP27ZkYTI/AAAAAAAHSLg/COkwDaUApFc/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Mhe Anna Kilango Malecela atembelea Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X8JSv4rUSKo/VTXP27ZkYTI/AAAAAAAHSLg/COkwDaUApFc/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mhe Anne Kilango Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WmRflIEQQsk/VTfgSgZi3YI/AAAAAAAHSnM/Lm6xwzH5dCU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
11 years ago
Habarileo01 Apr
Matokeo makubwa sasa yaneemesha elimu
KUONGEZEKA kwa viwango vya ufaulu kwa shule za Msingi na Sekondari kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana kumeelezwa kutokana na kutekelezwa kwa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa wakati wa kuzindua vitabu vya Uchambuzi wa Matokeo ya Shule za Msingi kwa mwaka 2013 katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ katika elimu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LM7vnt4_Hl4/U8VNLTyXoPI/AAAAAAAAFrk/eVh2G4-aB0Y/s72-c/IMG_2466.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AFANYA ZIARA YA KUHAMASISHA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOANI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-LM7vnt4_Hl4/U8VNLTyXoPI/AAAAAAAAFrk/eVh2G4-aB0Y/s1600/IMG_2466.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria aripoti ofisini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini jana Jumatatu, Novemba 10, 2014.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Uchina kuahidi mabilioni zaidi kwa Afrika