Walimu 'watafuna' fedha za vitabu
WALIMU wanaoongoza shule za sekondari na msingi nchini, wametumia vibaya fedha za ruzuku za kununulia vitabu, hatua iliyolazimu Serikali kukata fungu la vitabu lililopaswa ku-pelekwa shuleni na kununua vitabu hivyo kwa niaba yao.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania