Fedha za walimu zayeyuka
FEDHA za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu zimeyeyuka bila Bunge kujulishwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa na Bunge la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...
10 years ago
Michuzi19 Dec
11 years ago
Habarileo27 Jun
Walimu 'watafuna' fedha za vitabu
WALIMU wanaoongoza shule za sekondari na msingi nchini, wametumia vibaya fedha za ruzuku za kununulia vitabu, hatua iliyolazimu Serikali kukata fungu la vitabu lililopaswa ku-pelekwa shuleni na kununua vitabu hivyo kwa niaba yao.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro
11 years ago
Habarileo30 Jul
Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari
BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0007.jpg)
WALIMU MBWARA WAJICHANGA FEDHA KUWEKA UMEME MADARASANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200223-WA0007.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200223-WA0009.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,RUFIJI
WALIMU wa shule ya Sekondari ya Kata ya Mbwara ,Jimbo la Rufiji Mkoani Pwani, wameweka umeme katika vyumba vya madarasa shuleni hapo pamoja na nyumba wanazoishi kwa gharama ya sh.milioni tatu ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa umeme iliyokuwepo .
Juhudi hiyo ,itasaidia kuinua taaluma kwa wanafunzi wa shule hiyo ,kwani wanaweza kujisomea nyakati za usiku .
Mwalimu Mkuu shuleni ya sekondari Mbwara, Millo Msovela, akieleza juu ya suala hilo wakati mbunge wa viti...
11 years ago
Michuzi28 Mar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI AAHIDI SERIKALI KUAJIRI WALIMU 13,526 KIPINDI CHA MWAKA HUU WA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Dodoma, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amesema kati ya Watumishi 524,295 wa umma Watumishi 266,905 ni Walimu ambao ni sawa na asilimia 51 na kwamba pamoja na kuwaajiri walimu 22,342 katika kipindi hiki cha miaka mitano walimu wengine 13,526 wataajiriwa katika mwaka huu wa fedha.
Rais Dk. Magufuli amesema hayo leo...