Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za walimu zayeyuka

FEDHA za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu zimeyeyuka bila Bunge kujulishwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa na Bunge la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu 'watafuna' fedha za vitabu

WALIMU wanaoongoza shule za sekondari na msingi nchini, wametumia vibaya fedha za ruzuku za kununulia vitabu, hatua iliyolazimu Serikali kukata fungu la vitabu lililopaswa ku-pelekwa shuleni na kununua vitabu hivyo kwa niaba yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro

Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari

BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu

HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...

 

5 years ago

Michuzi

WALIMU MBWARA WAJICHANGA FEDHA KUWEKA UMEME MADARASANI





NA MWAMVUA MWINYI,RUFIJI 
WALIMU wa shule ya Sekondari ya Kata ya Mbwara ,Jimbo la Rufiji Mkoani Pwani, wameweka umeme katika vyumba vya madarasa shuleni hapo pamoja na nyumba wanazoishi kwa gharama ya sh.milioni tatu ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa umeme iliyokuwepo .
Juhudi hiyo ,itasaidia kuinua taaluma kwa wanafunzi wa shule hiyo ,kwani wanaweza kujisomea nyakati za usiku . 
Mwalimu Mkuu shuleni ya sekondari Mbwara, Millo Msovela, akieleza juu ya suala hilo wakati mbunge wa viti...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AAHIDI SERIKALI KUAJIRI WALIMU 13,526 KIPINDI CHA MWAKA HUU WA FEDHA

Rais Dk. John Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), uliofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, leo.

Dodoma, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amesema kati ya Watumishi 524,295 wa umma Watumishi 266,905 ni Walimu ambao ni sawa na asilimia 51 na kwamba pamoja na kuwaajiri walimu 22,342 katika kipindi hiki cha miaka mitano walimu wengine 13,526 wataajiriwa katika mwaka huu wa fedha.

Rais Dk. Magufuli amesema hayo leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani