Viongozi wa the Kop in Tanzania watua anfield kukamilisha usajili wa chama bongo
![](http://1.bp.blogspot.com/-n6WUl41XFOk/U3ExFIRI00I/AAAAAAAFhL8/-xeBlOSKrys/s72-c/29d26472015af1043b338f29ed7ef045.jpg)
Katibu wa The Kop in Tanzania Issa Batenga akiwa katika ofisi kuu ya Bwawa la Maini kukamilisha usajili wa jumuiya hiyo ya wapenzai wa Liverpool nchini leo huko Anfield
Mwenyekiti wa The Kop in Tanzania Musleh akiwa Akiwa Anfield leo
Issa Batenga na Musleh wakiwa na furaha baada ya kukamilisha usajili rasmi wa The Kop in Tanzania leo
Mojawapo ya jezi ambazo kila mwanachama wa The Kop in Tanzania atapata. Hii ni mwendelezo wa harakati za kudumisha chama cha wapenzi wa Bwawa la Maini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image001.png)
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image002.png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) chapata usajili rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Benjamin Sawe)
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPVDAOSOiqmDIH*0INLGMtG0BWpfDyx2W5JTjNtff0z2uHmRtK0FPvWjZfHOcpFA56SNoKorTt1PszErWk69KMo/rojo7.jpg?width=650)
ROJO ATUA MAN UNITED KUKAMILISHA USAJILI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Pb6se_bMWHs/VXXWSFXaAeI/AAAAAAAAB98/_8va0AJ8yPM/s72-c/Liverpool-FC-Background.jpg)
LIVERPOOL MBIONI KUKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pb6se_bMWHs/VXXWSFXaAeI/AAAAAAAAB98/_8va0AJ8yPM/s400/Liverpool-FC-Background.jpg)
Klabu ya Liverpool imetangaza kufikia makubaliano na klabu ya Burnley juu ya usajili wa mshambuliaji wa England, Danny Ings.Kikosi cha Liverpool msimu uliopita kimejikuta kikishindwa kufikia malengo yake baada ya kumaliza nje ya nafasi za kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa imekuwa ikihaha kuhakikisha inasajili wachezaji ambao wanaweza kuendana na malengo na ukubwa wa klabu hiyo, japo mchezaji Danny Ings amekuwa kwenye orodha ya kocha Brendan Rogers kwa muda mrefu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hBdHtjw072o/VXXW7MSpRVI/AAAAAAAAB-E/d-Ycgya182I/s400/Danny-Ings-celebrates-his-goal.jpg)
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …
Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]
The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DGBnDW0dc5A/VL4p8tUQAMI/AAAAAAAG-d0/W0shz63DrJA/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Viongozi wa Chama cha Skauti wakutana na Wadhamini wa Chama
![](http://4.bp.blogspot.com/-DGBnDW0dc5A/VL4p8tUQAMI/AAAAAAAG-d0/W0shz63DrJA/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s72-c/a3.jpg)
JK akutana Na viongozi Wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s1600/a3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10