LIVERPOOL MBIONI KUKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pb6se_bMWHs/VXXWSFXaAeI/AAAAAAAAB98/_8va0AJ8yPM/s72-c/Liverpool-FC-Background.jpg)
Klabu ya Liverpool imetangaza kufikia makubaliano na klabu ya Burnley juu ya usajili wa mshambuliaji wa England, Danny Ings.Kikosi cha Liverpool msimu uliopita kimejikuta kikishindwa kufikia malengo yake baada ya kumaliza nje ya nafasi za kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa imekuwa ikihaha kuhakikisha inasajili wachezaji ambao wanaweza kuendana na malengo na ukubwa wa klabu hiyo, japo mchezaji Danny Ings amekuwa kwenye orodha ya kocha Brendan Rogers kwa muda mrefu.
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPVDAOSOiqmDIH*0INLGMtG0BWpfDyx2W5JTjNtff0z2uHmRtK0FPvWjZfHOcpFA56SNoKorTt1PszErWk69KMo/rojo7.jpg?width=650)
ROJO ATUA MAN UNITED KUKAMILISHA USAJILI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n6WUl41XFOk/U3ExFIRI00I/AAAAAAAFhL8/-xeBlOSKrys/s72-c/29d26472015af1043b338f29ed7ef045.jpg)
Viongozi wa the Kop in Tanzania watua anfield kukamilisha usajili wa chama bongo
![](http://1.bp.blogspot.com/-n6WUl41XFOk/U3ExFIRI00I/AAAAAAAFhL8/-xeBlOSKrys/s1600/29d26472015af1043b338f29ed7ef045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WL4NGLKCt_o/U3ExFEN-MZI/AAAAAAAFhMA/hJQNnY_GWUQ/s1600/88bd1a493479e7238dc925fc4f25d81a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uXPt8U_ibls/U3ExJqKPSHI/AAAAAAAFhMM/H_WxCOw50cY/s1600/948a1527b1596a6fc210ce395c88f88b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NEzZz7DYw3c/U3ExMO8JlAI/AAAAAAAFhMU/R5N-dyPwG4Y/s1600/ceaa55d534462a7cc8b8a34482becfea.jpg)
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …
Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]
The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi25 May
Bagamoyo mpya mbioni
9 years ago
Bongo502 Sep
Anthony Martial: Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Manchester United kutoka Monaco
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Malecela: Siku 60 hazitoshi kukamilisha Katiba Mpya
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Rais wa Corinthians akanusha taarifa za Pato kuhamia Liverpool kwenye dirisha la usajili Januari
Mchezaji wa Corinthians, Alexandre Pato.
Rais wa Corinthians, Robero de Andrade.
Na Rabbi Hume
Rais wa klabu ya Corinthians, Robero de Andrade amekanusha uvumi uliokuwa unatolewa na vyombo mbalimbali vya habari kuwa timu hiyo imefikia makubaliano ya awali na Liverpool kuhusu uhamisho wa mchezaji wao Pato.
Andrade amesema kuwa hakuna ofa yoyote ambayo timu hiyo tayari imepokea kutoka kwa Liverpool licha ya kuandikwa habari nyingi kuwa mchezaji wao Pato atahamia Liverpool katika dirisha dogo...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
USAJILI: ‘First Eleven’ mpya Simba!
10 years ago
Mwananchi21 Nov
USAJILI: ‘Maximo sajili ‘Domayo’ mpya’