Bagamoyo mpya mbioni
>Mradi wa Bandari ya Mbegani – Bagamoyo, mkoani Pwani ndiyo mradi mkubwa wa uwekezaji nchini utakaoifanya wilaya hiyo kuwa na mwonekano mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Pb6se_bMWHs/VXXWSFXaAeI/AAAAAAAAB98/_8va0AJ8yPM/s72-c/Liverpool-FC-Background.jpg)
LIVERPOOL MBIONI KUKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pb6se_bMWHs/VXXWSFXaAeI/AAAAAAAAB98/_8va0AJ8yPM/s400/Liverpool-FC-Background.jpg)
Klabu ya Liverpool imetangaza kufikia makubaliano na klabu ya Burnley juu ya usajili wa mshambuliaji wa England, Danny Ings.Kikosi cha Liverpool msimu uliopita kimejikuta kikishindwa kufikia malengo yake baada ya kumaliza nje ya nafasi za kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa imekuwa ikihaha kuhakikisha inasajili wachezaji ambao wanaweza kuendana na malengo na ukubwa wa klabu hiyo, japo mchezaji Danny Ings amekuwa kwenye orodha ya kocha Brendan Rogers kwa muda mrefu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hBdHtjw072o/VXXW7MSpRVI/AAAAAAAAB-E/d-Ycgya182I/s400/Danny-Ings-celebrates-his-goal.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qNsjO9eUmyE/UyW-iwg4ckI/AAAAAAAFT_Q/DnzdVAEfPfA/s72-c/unnamed+(40).jpg)
TATHMINI YA ARDHI YA BANDARI MPYA YA MBEGANI, BAGAMOYO, YAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi17 Aug
JAJI BWANA NDIYE MWENYEKITI MPYA BARAZA LA CHUO KIKUU HA BAGAMOYO (UB)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-RQyKwQabheA%2FU_CNF1yyxNI%2FAAAAAAABFiQ%2F61_VdeDCDOU%2Fs1600%2Fimage.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Wetu
BODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk.Stephen Bwana Kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Mikocheni Dar Es Salaam, Dk.William Kudoja alisema Bodi ya Wadhamini ya chuo hicho ambayo Inaongozwa na Professa Paramaganda Kabudi Ndiyo ilimteua Jaji Bwana kushika wadhifa huo mpya baada ya kuona Ana sifa za vigezo Vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1i51vM7IjLc/XteJcAYy9aI/AAAAAAALsbw/kt3MhNSLZ3YHPhT9uHFD6bzC2V7mlnSvQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0010.jpg)
DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO
Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.
Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...
10 years ago
MichuziMashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo
10 years ago
GPLBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s72-c/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa) THE 33RD BAGAMOYO INTERNATIONAL FESTIVAL OF ARTS AND CULTURE 22 — 28 SEPTEMBER, 2014 CALL FOR ARTISTS
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s640/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
We would like to invite you (individual artist/groups) to apply for the participation and performance in the 33th Bagamoyo International Festival of Arts and Culture which will take place at the institute (TaSUBa - Bagamoyo) from 22 - 28 September 2014.
The aim of this festival is to support and expose activities of the artists, encourage cooperation and friendship of both local and international artists, promote mutual cultural exchange, share experiences
and give the...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO,SHIRIKA LA MAGEREZA NA KAMPUNI YA TARBIM WAKUTANA LEO MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-taIu7fs6Dk0/VNN7JdUBFmI/AAAAAAAHB-8/Q77Xmw6cl2c/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Dec
Snura mbioni kuachia 'Ushaharibu'
MWANADADA anayetamba katika muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’ anajipanga kusambaza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Ushaharibu’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Snura alisema wimbo huo ni mwendelezo wa kazi yake ya ‘Nimevurugwa’ ambayo pia inafanya vizuri katika ‘game’.
Mbali na kazi hiyo, mwanadada huyo anatamba na kazi yake ya ‘Majanga’ ambayo imemtambulisha vema katika soko la muziki.
“Huu ni kama mwendelezo wa ‘Nimevurugwa’, ukiisikiliza kwa makini...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10