Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC

Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Azam FC, Joseph Omog amewasilisha maombi matatu kwa uongozi wa timu hiyo yanayotakiwa kufanywa kwa haraka huku akisema hataki kambi ya nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Azam yamtupia virago Omog

Hatimaye Azam imemtimua kocha wake Mcameroon Joseph Omog ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa na El Merreikh ya Sudan kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

 

10 years ago

Mwananchi

Domayo amshtua Omog Azam

Azam FC imepiga bao faida ya kuwajali wachezaji wao baada ya kupona kiungo wao mkabaji, Frank Domayo ambaye sasa amerudi kwa kasi ya ajabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14

WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...

 

11 years ago

TheCitizen

Omog’s big plans as Azam arrive

>A day after sealing the Vodacom Premier League, Azam FC head coach Joseph Omog has his eyes set on making an impact at the next edition of the CAF’s African Champions League.

 

11 years ago

Dewji Blog

Azam FC kujadili kambi J’3

OMOG

Kocha wa Azam FC, Joseph Omog.

Na Mwandishi wetu.

 Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Azam FC, wanatarajia kukutana Jumatatu ya wiki ijayo, kujadili mapendekezo ya Kocha wao Mkuu, Joseph Omog juu ya sehemu ya kuweka kambi na mengineyo.

Omog aliipa Azam FC ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita licha ya kludumu nayo kwa kipindi kifupi tangu apokee kijiti kutoka kwa aliyekuwa mtangulizi wake, Mwingereza Stewart Hall.

Taarifa za kuaminika toka chanzo chetu zinasema mbali ya suala la kambi, Omog...

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi Yanga nje hatihati

Ule mpango wa Yanga kupiga kambi nje ya nchi ni dhahiri huenda usifanikiwe baada ya kocha wa timu hiyo Ernest Brandts kukiri kuwa mpaka sasa hafahamu kama safari hiyo bado ipo au imekufa.

 

10 years ago

Michuzi

KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akiwaelekeza mabondia jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'upper-cut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala iliyopo  Amana CCM, Dar es salaamKocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupiga ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani