Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Azam FC, Joseph Omog amewasilisha maombi matatu kwa uongozi wa timu hiyo yanayotakiwa kufanywa kwa haraka huku akisema hataki kambi ya nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Azam yamtupia virago Omog
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Domayo amshtua Omog Azam
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14
WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...
11 years ago
TheCitizen15 Apr
Omog’s big plans as Azam arrive
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Azam FC kujadili kambi J’3
Kocha wa Azam FC, Joseph Omog.
Na Mwandishi wetu.
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Azam FC, wanatarajia kukutana Jumatatu ya wiki ijayo, kujadili mapendekezo ya Kocha wao Mkuu, Joseph Omog juu ya sehemu ya kuweka kambi na mengineyo.
Omog aliipa Azam FC ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita licha ya kludumu nayo kwa kipindi kifupi tangu apokee kijiti kutoka kwa aliyekuwa mtangulizi wake, Mwingereza Stewart Hall.
Taarifa za kuaminika toka chanzo chetu zinasema mbali ya suala la kambi, Omog...
9 years ago
StarTV18 Aug
UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.
Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.
Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.
Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kambi Yanga nje hatihati
10 years ago
Michuzi19 Aug
KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA
![](https://4.bp.blogspot.com/-mdPIs_IKVFQ/U_JgAVYZGgI/AAAAAAAAFqg/sokkwMSTFZM/s1600/unnamed.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-aGdZJf8Y7r4/U_JcwwCOZSI/AAAAAAAAFqM/Svpa0OIArdo/s1600/5.jpg)