Azam FC kujadili kambi J’3
Kocha wa Azam FC, Joseph Omog.
Na Mwandishi wetu.
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Azam FC, wanatarajia kukutana Jumatatu ya wiki ijayo, kujadili mapendekezo ya Kocha wao Mkuu, Joseph Omog juu ya sehemu ya kuweka kambi na mengineyo.
Omog aliipa Azam FC ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita licha ya kludumu nayo kwa kipindi kifupi tangu apokee kijiti kutoka kwa aliyekuwa mtangulizi wake, Mwingereza Stewart Hall.
Taarifa za kuaminika toka chanzo chetu zinasema mbali ya suala la kambi, Omog...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kambi ya Taifa Stars yaiharibia Azam
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5l3Kdc4YmPc/Vj_LeFN3TRI/AAAAAAABaCk/JWd78YsnaUg/s640/azam.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Azam waivaa Ferraviario ndani Azam Complex