Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo
Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC wanatarajiwa kuweka kambi nchini Jamhuri ya Kongo (DRC) ili kucheza mechi za kirafiki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s72-c/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s640/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da0yh1N6Y2LCSgshJ9O0bJskgOc4fS3AT7y8NYBZ*tFproy1piNomQheNiIE-siVW*gAQiV*7cPRvhEOiCWneZ9/YANGAAAA.gif?width=650)
Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uchina kuweka kambi ya kijeshi Djibouti
9 years ago
Bongo511 Dec
Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini
![Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Kayumba-akikabidhiwa-zawadi-kutoka-kwa-wadhamini-wa-shindano-hilo.-300x194.jpg)
Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.
Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.
Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VcRAlZQx_b0/VN0CBpnvzKI/AAAAAAAHDWw/Jb-3kxkXXTk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
RED ARROWS FC YA ZAMBIA KUWEKA KAMBI NCHINI
Uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Col Nolacso K Chilando ulifika leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania - TFF sambamba na Afisa habari wa klabu Lt Col Melody Siisii, Bw Alex Chila ofisa ubalozi wa Zambia nchini Tanzania...