Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina kuweka kambi ya kijeshi Djibouti

Uchina inapanga kuweka kambi ya kijeshi nchini Djibouti kinyume na matarajio ya Marekani na Ufaransa ambazo tayari zinakambi zao huko

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kujenga kambi ya kijeshi Djibout

Uchina imethibitisha kwamba itajenga kambi yake ya kwanza ya kijeshi katika taifa la kigeni nchini Djibouti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kambi za kijeshi zavamiwa Burundi

Wanajeshi wa Burundi wafanikiwa kuzuia jaribio la uvamizi katika kambi kadhaa za kijeshi mjini Bujumbura usiku wa kuamkia leo

 

11 years ago

GPL

Azam kuweka kambi Hispania

Wachezaji wa timu ya Azam FC wakishangilia bao katika moja ya mechi ya Ligi kuu ya Vodacom. Na Martha Mboma
KATIKA kuhakikisha wanafanya vyema kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara pamoja na michuano ya kimataifa, Klabu ya Azam inatarajia kuweka kambi nchini Hispania ikiwa ni sehemu ya maandalizi.
Azam ambao ni mabingwa watetezi wa ligi kuu, wanatarajia kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani. Chanzo cha kuaminika...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Stars kuweka kambi Uturuki

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.

Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump asema kambi za kijeshi zenye majina ya majenerali waliotukuza utumwa ni turathi ya Marekani.

Rais wa Marekani Donld Trump anasema kwamba hana mpango wa kubadilisha majina ya kambi za kijeshi zilizotajwa baada ya majenerali walioongoza jeshi la Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania

Klabu ya Red Arrow FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambiaitaweka kambi ya mafunzo kwa wiki moja kujindaa na Ligi Kuu nchini humo 2015.

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi

Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa upo tayari kuweka kambi Chamazi kufuatia ofa waliyoitoa Azam ya kuwataka wakaweke kambi huko kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri. Inaelezwa kuwa wiki iliyopita uongozi wa Azam FC ulikataa ombi la Al Ahly kuweka kambi kwenye eneo lao hilo pindi watakapokuja nchini kucheza dhidi ya Yanga katika hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo

Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC wanatarajiwa kuweka kambi nchini Jamhuri ya Kongo (DRC) ili kucheza mechi za kirafiki

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini

Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.

Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.

Kayumba Juma

Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.

Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani