Kambi Yanga nje hatihati
Ule mpango wa Yanga kupiga kambi nje ya nchi ni dhahiri huenda usifanikiwe baada ya kocha wa timu hiyo Ernest Brandts kukiri kuwa mpaka sasa hafahamu kama safari hiyo bado ipo au imekufa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Azam FC, Joseph Omog amewasilisha maombi matatu kwa uongozi wa timu hiyo yanayotakiwa kufanywa kwa haraka huku akisema hataki kambi ya nje ya nchi.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Okwi akacha kambi Yanga
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi ameanza vituko Yanga baada ya kuondoka kikosini na kushindwa kuambatana na wenzake walioingia kambini jana Bagamoyo, Pwani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da0yh1N6Y2LCSgshJ9O0bJskgOc4fS3AT7y8NYBZ*tFproy1piNomQheNiIE-siVW*gAQiV*7cPRvhEOiCWneZ9/YANGAAAA.gif?width=650)
Yanga SC yakubali kuweka kambi Chamazi
Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa upo tayari kuweka kambi Chamazi kufuatia ofa waliyoitoa Azam ya kuwataka wakaweke kambi huko kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri. Inaelezwa kuwa wiki iliyopita uongozi wa Azam FC ulikataa ombi la Al Ahly kuweka kambi kwenye eneo lao hilo pindi watakapokuja nchini kucheza dhidi ya Yanga katika hatua...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AZINDUA RASMI KAMBI YA AIRTEL RISING STARS INTERNATIONAL SOCCER CLINIC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6WOuK1u7mqc/U6KVXKrRENI/AAAAAAAFrns/en4GoFm92PI/s72-c/unnamed.jpg)
MHE. TEDROS ADHENOM, WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ETHIOPIA ATEMBELEA KAMBI YA WANARIADHA WA TANZANIA ADDIS ABABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6WOuK1u7mqc/U6KVXKrRENI/AAAAAAAFrns/en4GoFm92PI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Yanga: Msuva atauzwa nje ya nchi
![](https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10451055_809256089117968_7339685059345490383_n.jpg?oh=e20b028a2c313006000f6f03a74bf8e9&oe=55130FFF)
Baada ya klabu mbili za ligi kuu ya Bara wakiwemo watani wa jadi Simba kutangaza kumuhitaji winga hatari Simon Msuva, Yanga imesema mchezaji wake huyo ni wa hadhi ya kuuzwa nje ya nchi tu kama timu hiyo itaamua kufanya hivyo.
Simba imetangaza kumuhitaji winga huyo ambaye ameonyesha kiwango cha juu tangu mwaka jana huku akionekana kuwa mkombozi wa Yanga msimu huu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, kocha msaidizi wa Yanga Salvatory Edwarad alisema hawafikirii kumuuza Msuva kwa kuwa ni...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tambwe asaini Yanga, Maximo nje
Yanga imefanya usajili wa kushtukiza kwa kumsajili Amissi Tambwe aliyeachwa na Simba huku kibarua cha Mbrazili Marcio Maximo kikiwa dakika za mwisho Jangwani.
Â
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h-JWOss2wJ7rNsQkZDr3JrWzBifOjp2rloTRQpLpsuv*TDlJAl4d-mE87qmxOBw8g8eaeDSARQJ4ed7vfETfQRc/IMMMA.jpg)
Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga
Beki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani Na Waandishi Wetu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga, ikizidi kupamba moto, mabeki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani na nahodha, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wametupwa nje ya kikosi hicho baada kushindwa kufanya mazoezi na timu hiyo kutokana na kupata majeraha. Katika mazoezi ya jana asubuhi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Dar, Yondani alianza...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Itapendeza Yanga ikijenga uwanja nje ya mji
Wiki iliyopita wazee wa Yanga walipanga kufanya maandamano leo kwenda Ikulu kukutana na Rrais Jakaya Kikwete iwapo ofisi ya Meya ya Manispaa ya Ilala itashindwa kuwajibu ombi lao la kuongezewa eneo ili wajenge Uwanja wa kisasa wa michezo katika eneo la Jangwani pembeni ya klabu yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania